Polisi yazuia maandamano ya ACT Wazalendo

Serikali ya CCM inapenda maandamano ya Machawa ya kinafiki yenye kupongeza tu.

Maandamano serious ya kudai HAKI zetu za msingi hayatakiwi. WHY?
 
Heshima ipo hiyo unayoizungumzia ilhali wakwepa Kodi wakuu na wahuni wanakwenda kula futari huko??

Hapo palikuwa na heshima yake miaka ya 60-84 ila sio Sasa.
Kama unadhani ikulu ni kama kwa hawara yako unaweza kwenda kwa style yo yote unayotaka, sawa. Kila la heri. Siku ukivunjwa miguu ndipo utajua viongozi wako ni wapuuzi walikudanganya.
 
Huyu zitto kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo si kila siku wewe na majuha wenzio mnasema amelambishwa asali? Leo kawa mwema????
Unafiki jambo baya sana! Yaani kulwa jilala umepandisha uzi bila kumnanga zitto seriously?
Jikite kwenye hoja
 
Nimesikiliza hoja za polisi wakijibizana na Nondo eti wanasema.raisi ameshachukua hatua kwahiyo hakuna haja ya maandamano. Yaani polisi wanaanza kujibia Wanasiasa hoja za msingi kwa ujinga ujinga.
 
Nimesikiliza hoja za polisi wakijibizana na Nondo eti wanasema.raisi ameshachukua hatua kwahiyo hakuna haja ya maandamano. Yaani polisi wanaanza kujibia Wanasiasa hoja za msingi kwa ujinga ujinga.
Inashangaza kwakweli. Hii nji ni siasa tu hadi majeshini
 
Jikite kwenye hoja
Una hoja ipi wewe zaidi ya kutetea wahalifu? Unaukesha kulalamikia ufisadi huku unataka watu waliifanya makosa kama kina sabaya wawe huru kisa walìteuliwa na shetani unayemtumikia ?
Unapiga kelele juu ya ufisadi kisha kiongozi fisadi kama magu akiandikwa ufisadi wake unawatukana waliomuandika?
Sasa nape ndiyo anateua mkurugenzi wa habar ikulu?
 
Shida ACT nao waoga. Wakabaki wamejibanza kwenye geti la ofisi yao. Ni Kama hawakuwa serious na maandamano.
 
Uhuru bandia umeshangiliwa sana
 
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT Wazalendo mh Abdul Nondo amesema katika Barua waliyoandikiwa na polisi wameambiwa wasiandamane kwa sababu wabadhirifu Waliotajwa kwenye ripoti ya CAG Wameshachukuliwa hatua

Source ITV Habari
 
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT Wazalendo mh Abdul Nondo amesema katika Barua waliyoandikiwa na polisi wameambiwa wasiandamane kwa sababu wabadhirifu Waliotajwa kwenye ripoti ya CAG Wameshachukuliwa hatua

Source ITV Habari
Ndio wanasema eti wamewachamba inatosha ,watu wa pwani hovyo sana

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi Cha magu hata hiyo nia tu ya kutaka kuandamana nondo angekuwa hajulikani alipo muda huu.

Huo ndio utofauti Kati ya 5/6
 

Huu utoto ndio unacopy na kupaste kila uzi, acha utoto dogo.
 
Safi sana watu wafate utaratibu ndio msingi w sheria.
Wamekosa kazi tutawapatia kazi
Kuandamana kwa amani ni jambo lililopo kisheria boss. Au maandamano unayoyajua ww ni kwenda kusifia tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…