Polisi yazuia maandamano ya ACT Wazalendo

Maandamano ya kweli hayawezi kuzimwa na polisi ,maandamano ya kweli polisi hawawezi kuwa wengi kuzidi waandamaji,hau walikuwa ni kikundi Cha vijana wahuni wa mitaani wasiyo na kazi.
Tena walitakiwa watandikwe na warudi ndani!
 
Bora ACT wamejaribu

 
Maandamano yameanzia ofisini yakaishia sebuleni. Kiswahili kimekuwa kigumu sana. Kwanini wasiandike polisi yawazuia vijana wa ACT waliokuwa wanajiandaa kuandamana. Sasa hapo wameandamana wapi hawajatoka hata getini.
 
Wamepata milliage ya kisiasa nchini!!

Good move!!

Hadi 2025 wataongeza idadi ya wabunge Bungeni!

Mungu ibariki Tanzania yetu!!
 
IF YOU USE THIS ENERGY FOR YOUR LIFE, THEN YOU WILL NOT BE BEGGING FOR FOOD

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Wasalaam
Kwa Sasa
+267
...And this is my life. I never visited you and your wife to beg for anything

So, stay calm dude!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ