Baadhi ya mambo Ghadafi alifanya kwa Afrika
1. Kufinance vikundi vya wapigania uhuru, ANC ikiwemo
2. Kulipia Satellite ya kwanza ya Afrika, hii ilirahisisha mawasiliano ndani ya Afrika, gharama zikawa nafuu, Zamani ilikuwa ukipiga simu, ilikuwa kwanza iende ulaya kisha ndo irudi Afrika, sasa hivi ni direct tu.
3. Kufinance Africa Union ( AU) kifedha ili iweze kusimama
4. Kuinvest katika mataifa ya Africa, Hata sisi hapa Tanzania tulikuwa na hoteli zinazomilikiwa na serikali ya Libya mfano Bahari beach.
5. Kutoa pesa ndefu kwa ajili ya Africa development Bank ( ADB) ambapo nchi kibao za Afrika hukopa
6. Alikuwa na mpango wa kufinance uanzishwaji wa Africa Monetary Fund ( AMF) kama ilivyo IMF, wazungu wakamuona tishio wakamtengenezea Zengwe!!