POLOSI WAZIMQ PARTY YA UFUKSA

POLOSI WAZIMQ PARTY YA UFUKSA

tena wasiishie tu kuizima nashauri walio husika kuratibu na kuandaa upuuuzi huu wakamatwe watiwe adabu au wafunguliwe japo mashitaka ili iwe fundisho kwa wao na wengine wenye tabia ovu kama hizi.
hawa ndio wanao sambaza UKIMWI kwa maksudi wachukuliwe hatua kali.
pongezi kwa jeshi la polisi kwa kuzima uovu huu.
ili wahusika wote msiwaache tu wakaednda bila mshahara wa makosa yao maaana wanaweza wakaja kurudia tena.
 
Kama ndio hivi, basi waingilie na Telegram, tusinyanyasane bana. Hali ngumu, unajichanga angalau ukasahau shida kidogo inakuwa tabu argh
 
Sasa mtu pesa yake, na huyo partner ni maridhiano baina yao, au ufuska una tofauti gani na ngono? Ngono ni kinyume cha sheria? Party ni kinyume cha sheria? Labda kama walipanga kufanyia hadharani, ila kama ni kwa faragha sioni tatizo
Ni kosa kisheria kuendesha Danguro au biashara ya ngono...
 
Back
Top Bottom