- Kusoma Maandiko.Unakutana na mtu anakuuliza, unakunywa pombe? Unavuta sigara nk ukimjibu hapana situmii vyote anakwambia lazima starehe yako itakuwa kusex.
Je kuna ukweli wowote katika hili?
We starehe U Hobby yako ni ipi? Tiririka, ikifanana na ya mwenzio ruksa kufahamiana zaidi
Binafsi napenda- Kusikiliza muziki laini.
-Kufanya mazoezi
-Kuangalia Movie
-Kuchart na marafiki nk.
Tuonyeshe hali ya meno yakoNapenda kula vitu vitamu 😋
🤣🤣🤣 sawa tuliaTuonyeshe hali ya meno yako
Typical introvert: perfectionist!Ni kweli... Ninafurahia kuwa mwenyewe muda mwingi sababu inanifanya najifunza mambo mengi. Pia nikiwa kwenye makundi ya watu wengi mara nyingi wanaongea vitu vya uongo na Mimi nashindwa kuvumilia kukosoa
Kusikiliza muziki laini.
-Kufanya mazoezi
-Kuangalia Movie
Nashukuru mkuu🙏, nimeshaedit ingawa umenivunja moyo kusema huachani na jani hata ukipewa mabilioni ya pesa kwa siku 😃😃😃Mkuu hebu edit ulichoandika ili nikupate ila mpaka sasa nimeelewa hapo pa kuacha mjani ili niwe na hela kama sjakose ila nikuambie mjani siachi hela hizi ninazotafuta ndio level yangu nikizidisha tu nachanganyikiwa napenda kwenda kwa stage mkuu
Mtoto mjinga huyuacha kabisa, ukute umehold kama mwezi hivi afu unakuja kurelease😋
sometimes i think the guilt is totally worth it....
Wewe na Mimi tunarandanaNapenda kula vitu vitamu 😋
Shetani akiona hii anatabasamuNapenda kula vitu vitamu 😋
Hata mm naweza kua miongoni mwaoMfumo wetu wa elimu unahitaji maboresho makubwa sana. Vijana wetu hawajui kabisa starehe ni nini??
nisamehe dada,
nimeahidi kuacha kuanzia sasa
UNgekosekana humu ningeshtukqUnaacha ama unazi hold?