Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Hahaha Mimi napenda kulala hususani usingizi ukikolea usiamshe tutagombanaHata kama nyumba inaungua moto usiamshwe? 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha Mimi napenda kulala hususani usingizi ukikolea usiamshe tutagombanaHata kama nyumba inaungua moto usiamshwe? 😀
Kuwazagamua 🤣🤣🤣Unakutana na mtu anakuuliza, unakunywa pombe? Unavuta sigara nk ukimjibu hapana situmii vyote anakwambia lazima starehe yako itakuwa kusex.
Je kuna ukweli wowote katika hili?
We starehe U Hobby yako ni ipi? Tiririka, ikifanana na ya mwenzio ruksa kufahamiana zaidi
Binafsi napenda- Kusikiliza muziki laini.
-Kufanya mazoezi
-Kuangalia Movie
-Kuchart na marafiki nk.
Depal ndo wifi uliyeniletea huyu aisee,Hapo kweny kamjani ka arusha nimekuelewa sana
Ukinywa wine huumwi kichwa wala kutapika?Karibu kwenye wine 🥳
Tunakuombea…
Me napenda sana kula sijui wenzanguHivi wanawake mnapenda kula eeh?
nakumbuka uliwahi kuniambia unapenda viba100🌚Me napenda sana kula sijui wenzangu
umesahau hentai.
- Kuangalia documentaries za medicine, astronomy, physics and wildlife.
- Kusoma vitabu vya maarifa na vya kidini.
- Kujifunza vitu vipya
- Kumuangalia Lionel Messi akicheza.
- Kusikiliza orchestra.
- Kuongea na watu.
Yeah 😃🤣🤣🙈nakumbuka uliwahi kuniambia unapenda viba100🌚
Kila mwanamke ninayekutana nae anasema anapenda kula, itakuwa ni tabia yenuMe napenda sana kula sijui wenzangu
Wine haifanyi chochote, cha zaidi zaidi sanaa mwili unapata joto ☺️Ukinywa wine huumwi kichwa wala kutapika?
Mdogo wako situmii kilevi naogopa hivyo vitu😂
Aaaah 😅 😅 😅 hapana aisee hapana.umesahau hentai.
labda kweli,, yani mimi kila restaurant au cafeteria itakayofunguliwa mjini lazima niende nikale nipate taste ya vyakula vyake..huko ndo ninakomalizaga hela nyingi sana.. Na sijutii😃😃🤣🙈Kila mwanamke ninayekutana nae anasema anapenda kula, itakuwa ni tabia yenu
Jiongeze mkuu !! yy kakuambia anapenda vitu vitamu unakimbilia kwenye vyakula au ww ni msabato nini?Vizuri but ungeainisha na vyakula uvipendavyo
Naona watu wakinywa wanatapika na kulalamika kichwa kinauma kila asubuhi.Wine haifanyi chochote, cha zaidi zaidi sanaa mwili unapata joto ☺️
Wine pia hazipatani na miubwabwa 🤣🤣
Sio umekula zako miwali, ukagonge wine/ savanna…65% kutapika haukuepukiki
Ila ukila nyama kawaida tu unakuwa
Siku ukitaka kujaribu nitakupa majina ya sweet wine.. dry zinakuwaga na ka uchachu flani mpk umix na coka inakuwa mzuka.
Haha unaogopa kwamba hauko tayari? Ama unaogopa nini?
Asee kumbe tuna mtu wa liquor store hapa emu zielezee vizuri hizO wine hapo tena ukila na kande inakuaje?Wine haifanyi chochote, cha zaidi zaidi sanaa mwili unapata joto ☺️
Wine pia hazipatani na miubwabwa 🤣🤣
Sio umekula zako miwali, ukagonge wine/ savanna…65% kutapika haukuepukiki
Ila ukila nyama kawaida tu unakuwa
Siku ukitaka kujaribu nitakupa majina ya sweet wine.. dry zinakuwaga na ka uchachu flani mpk umix na coka inakuwa mzuka.
Haha unaogopa kwamba hauko tayari? Ama unaogopa nini?