Pombe hunywi, sigara huvuti, club huendi; starehe yako ni ipi?

Pombe hunywi, sigara huvuti, club huendi; starehe yako ni ipi?

Unakutana na mtu anakuuliza, unakunywa pombe? Unavuta sigara nk ukimjibu hapana situmii vyote anakwambia lazima starehe yako itakuwa kusex.

Je kuna ukweli wowote katika hili?
We starehe U Hobby yako ni ipi? Tiririka, ikifanana na ya mwenzio ruksa kufahamiana zaidi

Binafsi napenda- Kusikiliza muziki laini.
-Kufanya mazoezi
-Kuangalia Movie
-Kuchart na marafiki nk.
Kuwazagamua 🤣🤣🤣
 
Ukinywa wine huumwi kichwa wala kutapika?

Mdogo wako situmii kilevi naogopa hivyo vitu😂
Wine haifanyi chochote, cha zaidi zaidi sanaa mwili unapata joto ☺️

Wine pia hazipatani na miubwabwa 🤣🤣
Sio umekula zako miwali, ukagonge wine/ savanna…65% kutapika haukuepukiki
Ila ukila nyama kawaida tu unakuwa

Siku ukitaka kujaribu nitakupa majina ya sweet wine.. dry zinakuwaga na ka uchachu flani mpk umix na coka inakuwa mzuka.

Haha unaogopa kwamba hauko tayari? Ama unaogopa nini?
 
Wine haifanyi chochote, cha zaidi zaidi sanaa mwili unapata joto ☺️

Wine pia hazipatani na miubwabwa 🤣🤣
Sio umekula zako miwali, ukagonge wine/ savanna…65% kutapika haukuepukiki
Ila ukila nyama kawaida tu unakuwa

Siku ukitaka kujaribu nitakupa majina ya sweet wine.. dry zinakuwaga na ka uchachu flani mpk umix na coka inakuwa mzuka.

Haha unaogopa kwamba hauko tayari? Ama unaogopa nini?
Naona watu wakinywa wanatapika na kulalamika kichwa kinauma kila asubuhi.
 
Wine haifanyi chochote, cha zaidi zaidi sanaa mwili unapata joto ☺️

Wine pia hazipatani na miubwabwa 🤣🤣
Sio umekula zako miwali, ukagonge wine/ savanna…65% kutapika haukuepukiki
Ila ukila nyama kawaida tu unakuwa

Siku ukitaka kujaribu nitakupa majina ya sweet wine.. dry zinakuwaga na ka uchachu flani mpk umix na coka inakuwa mzuka.

Haha unaogopa kwamba hauko tayari? Ama unaogopa nini?
Asee kumbe tuna mtu wa liquor store hapa emu zielezee vizuri hizO wine hapo tena ukila na kande inakuaje?
 
Back
Top Bottom