Pombe hunywi, sigara huvuti, club huendi; starehe yako ni ipi?

Pombe hunywi, sigara huvuti, club huendi; starehe yako ni ipi?

Naona watu wakinywa wanatapika na kulalamika kichwa kinauma kila asubuhi.
Waulize vizuri..
Binafsi sijawahi kutapika kisa wine.. au wanakunywaga bila kula?

Dodoma kule si kuna zile wine za kupima.. pesa kidogo wine dumu zima. Na wanachuo tena, birthday kidogo.. madumu ya wine kibao. Hiyo ya wine haipatanani na wali nilijifunzia huko.. so nikawa naepuka.
 
That's my point exactly 😍😘... yani hata nikispend 50k per meal hua haiumi,, kwanza sio kila siku naumiaje😆😆
Haha
Haka ka kitu mdogo wangu alitaka kuiga.. tulienda sehemu bufee elf 65k per person’ self service.
akapenda…. kamerudi chuo, naona kanapost Johari Rotana, nikasema wee mtoto!! Boom likikata hujamaliza miezi minne tusikusikie
 
Unakutana na mtu anakuuliza, unakunywa pombe? Unavuta sigara nk ukimjibu hapana situmii vyote anakwambia lazima starehe yako itakuwa kusex.

Je kuna ukweli wowote katika hili?
We starehe U Hobby yako ni ipi? Tiririka, ikifanana na ya mwenzio ruksa kufahamiana zaidi

Binafsi napenda- Kusikiliza muziki laini.
-Kufanya mazoezi
-Kuangalia Movie
-Kuchart na marafiki nk.
-kupiga chabo
-kupiga nyeto
 
Back
Top Bottom