Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Mkuu😂😂😂 kumbe mko wengi mshamba_hachekwi
Tumekaa palee mashangazi
Tutawachangia matibabu pale mapafu yatakaposumbua
Sijui kama club unaendaga ila mimi club nilikua nafata mademu
Ilikua easy kwa sababu pia napenda mziki sasa wenzako wanapiga ma hanson choice ma wine na matakataka mengine wewe kwako peupeee
Mimi na pombe hatuendani kabisa nikaanza shisha sio kwamba ni pro wa shisha sana no kawaida tu ili na mimi niwe na kitu cha kusogeza muda
Kuhusu mapafu😁😁😁
YOLO hata usipovuta utaded mama