Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hilo likitabu kuna mda linasema vya maana( يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ )
المائدة (90) Al-Maaida
Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.
Ongezea na hii
Hii kitu fresh sana
Umeongea kwa uchungu sana hili jambo limenigusa hata mimi maana nina ndugu yangu kakauka vibaya mno maana anatumia hivi vilevi vya bei rahisi bila kula yani ata ongea ishabadilika ata kama hajanywa anakua kama kanywa yani kawa kama ndoige akinywa anakua kama kanywa au asipokunywa ni kama kanywaHizi pombe ni kali zaidi hata ya gongo.
Zinaharibu afya ya vijana wengi. Nguvu kazi ya taifa.
Vijana wanakauka. Wanakunywa bila kula. Zinaharibu kila kitu maana wanashindwa hata kuperform kitandani.
Kabisa yani zinaongeza uzembehizo bajet na raha zinamaliza sana vijana moshi hasa marangu.kibarua cha sh 10000 wao wanafanya kwa sh 2000 kutwa nzima ili mradi apate pesa ya kutoa lock na ukimpa msimbazi kama umempa kazi kesho yake haji mpaka ziishe wanatuharibia madili yetu ya pesa.
Hadi hii ina undugu na hizo kina kitoko vodka???!!! Duh tumekwisha
Karibu ujifunze Qur'an na hutoweza kukuta lisilo na maana ndani yakeKumbe hilo likitabu kuna mda linasema vya maana
Hadi hii ina undugu na hizo kina kitoko vodka???!!! Duh tumekwisha
Usije ukaniambia na wewe ni muumini?😲Hadi hii ina undugu na hizo kina kitoko vodka???!!! Duh tumekwisha
Naionaga ya maana, sioni kama ipo kundi moja na kina double kick.....hizo nyingine zinonekana kama made in Vingunguti halafu hiyo ni made ina SinzaUlijua ni level za grants au?
Mtumishi mi nakunywa damu ya yesu....mambo ya duniani siyaweziUsije ukaniambia na wewe ni muumini?😲
Tht is Evelyn Salt: who I know!☝Mtumishi mi nakunywa damu ya yesu....mambo ya duniani siyawezi
kifupi hata hizo pombe kali za bei ghali nazo nyingi zake ni fake labda ukazinywe new africa, hyatt nk ila huko kwingind eti unauziwa Jack D au Hainessy vingunguti au Tabata unatambaa mwenyewe umelipa 100k unajiona mwamba kumbe umeuziwa gongo ya mavi kutoka chanika....