Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea point sana.
Hennessey , JD , jameson etc
Ambazo wanauzia sura nyingi fake ukitaka kanywe hyatt ila mtaani bahati nasibu
Tena zipo mpk humo sijui tips nkZile wanazojumua tiptop nyingi fake tu test hua tofauti sana na OG
Tena zipo mpk humo sijui tips nk
Watu wakinunua wanaona km OG
Hukuti wamepiga picha wanazionea sana v.s.o.pKuna vyuma hapa chini bottle moja laki saba hadi milioni hizi wanaokunywa hua hawapigi nazo picha, ukiona mnywaji anapiga picha pombe kuringishia huyo mshamba na hajui starehe
Hukuti wamepiga picha wanazionea sana v.s.o.p
Hata Dom perignon sijawahi kuonaga mtu anakunywa
Hukuti wamepiga picha wanazionea sana v.s.o.p
Hata Dom perignon sijawahi kuonaga mtu anakunywa
Ila wakongo wana sifaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaa700000 hadi 1200000 unadhani mchezo wakati kiwanja hicho lakini wacongo kinshasa wanazitandika vizuri niliona wamezungusha kama kawaida, nikachapa ka red label nikaona nikalale tu mapema
Hii shampeni naiogopa sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo q'uran kwa kiswahili ni nn?Karibu ujifunze Qur'an na hutoweza kukuta lisilo na maana ndani yake
Ila wakongo wana sifaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaa
Huku champagne mtu akinywa sana MOET & CHANDON 250k nayo hawaichezei
Michezo yote ni Hennessey Vsop bwana
Bongo savanna tu ni anasa.!!Nilikua nimetoka port matadi nimechoka nikasema niingie kiwanja vaaap wamekuchafulia meza ilikua club yao naona ya madon tu nje kwanza palinistua parking ilivo nikasema hapa natambaa nao tu muhini utanieleza nini, niliishia red label ndogo nikasema bado ligi zangu za smart gin, unakunywa ukiamka kesho unapiga tena hesabu imekaaje jua hapo bado unajikongoja tu *****
Bongo savanna tu ni anasa.!!
Ukiagiza watu wanakuangalia kama muuaji [emoji23][emoji23][emoji23]hizo ligi waachie Lumumbashi[emoji23][emoji23]
Kwahiyo kama hutaki kufanikiwa ruksa..basi sawa ngoja tuburudike bakini na mafanikio yenu.( يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ )
المائدة (90) Al-Maaida
Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.
Ongezea na hii
Kunafaida gani ya kufa na ini zima??Ukitaka kujua madhara ya hizi pombe wewe kunywa upate shida ya ini halafu uandikiwe kufanyiwa dialysis ndio utajua hujui... Halafu mamlaka zipo busy kukusanya kodi tu