Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
- Thread starter
- #101
Ili?Rejea tena ulichokiandika mtoa mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili?Rejea tena ulichokiandika mtoa mada
Ni maneno ya Mwenyezi Mungu aloletewa mtume wetu kupitia Malaika Jibril ili ayafikishe kwa Umma wakeHiyo q'uran kwa kiswahili ni nn?
Hio moja tu ni mpaka malaika wa bwana ampashe habari... kwamba binti anakunywa savanna[emoji23][emoji23][emoji23]Acha basi kwa ninyi jamaa anawahi kukueleza hapa inabidi ustue kama tatu hivi savana ujue ukizidisha unamkwaza tu
Uma wa waarabu ama??Ni maneno ya Mwenyezi Mungu aloletewa mtume wetu kupitia Malaika Jibril ili ayafikishe kwa Umma wake
Na wakinywa wananuka vby mno
Na wakinywa wananuka vby mno
Endelea kusoma bado sana kijanaUma wa waarabu ama??
Sisi huku afrika tuna tandika ulanzi..wanzuki..moshi..changaa..berenge..nipa n.k kwa kwenda mbele.
#MaendeleoHayanaChama
Nilifakamia chupa ya mls 750, nilitapika Damu pona yangu ilikuwa ni drips. Sitaki pombe tena.
Nilifakamia chupa ya mls 750, nilitapika Damu pona yangu ilikuwa ni drips. Sitaki pombe tena.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duuuh aiseeAcha tunywe, Mungu ameshatuahidi atatupa miili mipya mbinguni
Nilijaribu kumzuia ndugu fulani kupiga hizi pombe, siku moja nikamfungia geti asitoke, kufika saa 4 asubuhi akaanza kutetemeka na kutoa jasho
Hawezi kukaa sehemu moja anatembea tembea, mara ashike hichi mara aingie ndani atoke, nikajua huyu tayari kashaharibikiwa.
Unaweza kusema mtu kalogwa kumbe ni addiction ya pombe,
Tuzuie watoto wasiguse haya matapu tapu tokea udogoni maana wakishaanza hawaachi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha tunywe, Mungu ameshatuahidi atatupa miili mipya mbinguni
Kiburi cha uzima...Kunafaida gani ya kufa na ini zima??
#MaendeleoHayanaChama
umeshawahi kunywa gongo au unaongea tuHizi pombe ni kali zaidi hata ya gongo.
Zinaharibu afya ya vijana wengi. Nguvu kazi ya taifa.
Vijana wanakauka. Wanakunywa bila kula. Zinaharibu kila kitu maana wanashindwa hata kuperform kitandani.
Na wakinywa wananuka vby mno
Kisungura a. K. A smart ginDouble kick
#MaendeleoHayanaChama