Pombe ni starehe isiyofaa

Pombe ni starehe isiyofaa

Wenyewe husema Ukiinywa kwa taadhari kubwa haina Shida. Tatizo Ni kwamba huwezi kunywa kiasi kidogo kila siku, lazima uongeze gradually kadiri siku zinavyoenda hadi ikuharibu magoti.

Kuna fundi ujenzi nilimwomba anifanyie kazi fulani, eti akaogopa kusimama juu ya pipa kisa maungo ya mifupa hayana nguvu, chanzo ni pombe.

Kwa upande wangu naona Bora hata bangi iruhusiwe halafu pombe ipigwe marufuku kwani sijawahi kumuona mvutabangi anakosa nguvu ya Kufanya kazi au anasababisha ajali barabarani tofauti na walevi wa pombe wafanyavyo.

Hata Matatizo ya nguvu za kiume huwakumba watu Wengi wanaotumia vinywaji vikali.
Naona nyuzi nyingi sana za ku dis POMBE
Jamani tunaomba ieleweke too much of everything is harmful....
Pombe sio Tatizo Tatizo ni watu wenyewe...
Umeandikiwa Drinking responsible.....au Don't drive when taking alcohol....
Usizidishe kipimo chako huo NDIO unywaji...
Mbona nchi za barid wana kunywa pombe na hazi watawali........
 
Kama Daudi Nabii alicheza uchi sababu ya pombe, vipi wewe Binadamu tu wa kawaida?

Ke na Me wengi sana wamejikuta wakifanyiwa ujinga wa uasherati na usodoma wakiambukizwa magonjwa ya zinaa na hata UKIMWI sababu ya kutojitambua wakiwa wameshalewa, baada ya akili kurudi tu wanatambua walishaharibiwa sehemu zao za siri.

Kunywa pombe kwa starehe yako lakini usijaribu kuitetea kuwa haina matatizo kabisa hapo tutakesha hapa tukibishana.
To jump in to conclusion, ni kua Kuna wanywaji na walevi.....
 
Babu yangu kavuta sigara/tumbaku na gongo kila siku tangu akiwa 16, kafa na 88, mtoto wake wa mwisho kamzaa akiwa 70, haya mambo hayana formula maana wengine kabla ya 50 figo, Miguel, nguvu za kiume na mapafu kwisha kabisa, kunywa ila anything can happen
 
Back
Top Bottom