Pombe sio chai. Nililala mwenyewe nimeamka na Mama mwenye nyumba, tunashangaana!

Pombe noma sana, kipindi nagonga vyombo, siku moja niko na marafiki zangu tulikuwa hotel flani hivi Kiwengwa Zanzibar, tulipewa pombe flani hivi la Kitaliano tulikunywa kinoma, niliporudi ghetto aisee nililala siku nzima 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️
 
Hivi kweli umeshakunywa chupa tano, sita au saba unashindwa kabisa kuagiza chupa ya maji kumalizia siku? Maana kuna stage na unajiona kabisa kuwa hapa nikiongeza hata moja baada ya muda reasoning inapotea. Sasa kwann uruhusu? Inawezekana Tatizo ni self displine ya pombe.
 
akili yangu ilicho nasa ni limama jeupeee limenona vizuri😂,nimeharibikiwa kwa kwel
 
Pombe ni nzuri sana ukiwa na uwezo wa kuimiliki ila vinginevyo ni majanga.Ila jomba umekosea sana ungekula huo mzigo na ingewezekana muombe mtoke out na mkirudi mtakuwa marafiki. jimama jeupe hadi raha jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…