USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Ni viroba katika chupa za plastiki zenye kilevi cha 40 kikiwa kidogo unaweka hadi mfukoni hata mtoto anaweka, wanasema havina harufu kali so unaweza ukawa na mtu karibu anaongea upuuzi usijue kama kalewa.
Boda boda, machinga, wapiga debe na walevi wa kiwango cha umaskini ndio chao kwa bei ndogo vijana wanapotea maana kinaunguza maini na mfumo mzima wa afya ya akili na uzazi.
Serikali ipige marufuku hivi vidude vitaua vijana.
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Boda boda, machinga, wapiga debe na walevi wa kiwango cha umaskini ndio chao kwa bei ndogo vijana wanapotea maana kinaunguza maini na mfumo mzima wa afya ya akili na uzazi.
Serikali ipige marufuku hivi vidude vitaua vijana.
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app