Pompeo: Israel Haifanyi Uvamizi kwa Wapalestina bali Inatekeleza Maandiko ya Biblia

Wakristo wote, tunapinga vitendo vya kionevu, mauaji, Hakuna binadamu alie juu ya binadamu mwenzie. Ukiona mkristo anawahusudu hao maharamia jua, ni mkristo tawi la waasi. Yani waprotestanti.
 
Wakristo wote, tunapinga vitendo vya kionevu, mauaji, Hakuna binadamu alie juu ya binadamu mwenzie. Ukiona mkristo anawahusudu hao maharamia jua, ni mkristo tawi la waasi. Yani waprotestanti.
Mkuu Mimi nawajua wakristo hawawezi kuwaita wayahudi maharamia mungu wao YEHOVAH kawakataza.Bali waislamu wanaweza kuwaita wayahudi maharamia sababu mungu wao ALLAH kawaruhusu.Kama wewe ni mkristo soma biblia yako vizuri kuhusu wayahudi Mkuu
 
Mkuu Mimi nawajua wakristo hawawezi kuwaita wayahudi maharamia mungu wao YEHOVAH kawakataza.Bali waislamu wanaweza kuwaita wayahudi maharamia sababu mungu wao ALLAH kawaruhusu.Kama wewe ni mkristo soma biblia yako vizuri kuhusu wayahudi Mkuu
Mimi ni Mkristo na nasema Wayahudi ni maharamia wakubwa
 
Mkuu Mimi nawajua wakristo hawawezi kuwaita wayahudi maharamia mungu wao YEHOVAH kawakataza.Bali waislamu wanaweza kuwaita wayahudi maharamia sababu mungu wao ALLAH kawaruhusu.Kama wewe ni mkristo soma biblia yako vizuri kuhusu wayahudi Mkuu
Nimeisoma vizuri sana na kuelewa, mayahudi ni maharamia tu. Wakristo wote tunafahamu, except wakristo wa michongo, waprotestanti.
 
Wewe si mkristo mkuu.Wao wakristo wanaamini kupitia biblia wayahudi ni taifa lililobarikiwa na mungu wao YEHOVA.Lakini ukiwa muislamu nakuelewa kaka sababu mungu wao ALLAH kupitia quran amewalaani wayahudi.
Kwa hiyo hao Mashoga ndio wamebarikiwa?

Mimi siamini tamaduni ya Wayahudi hata kama Mkristo
 
Nimeisoma vizuri sana na kuelewa, mayahudi ni maharamia tu. Wakristo wote tunafahamu, except wakristo wa michongo, waprotestanti.
Sidhani mkuu kama wewe ni mkristo na umeisoma hiyo biblia yao.Term unayotumia ya kuwaita wayahudi"MAYAHUDI""ni neno la chuki linalotumiwa kuwataja wayahudi,na wao wakristo hawalitumiagi,bali linatumiwa sana na waislamu.Ukitaka kujua neno hilo baya,ebu jaribu kutamka MAARABU au MAZUNGU au MASWAHILI au MABANTU au MAAFRIKA au MACHINA au MAHINDI na ect......Nadhani umeshanielewa mkuu.
 
Huyo Mungu hafai hata kuombwa maji ya kunywa
Huyo ni mungu wa wakristo anaitwa YEHOVA au YAWEH, na anaabudiwa na wakristo.Ni kama vile waislamu wanavyomuabudu mungu wao anaeitwa ALLAH.Wote mpo sahii mkuu kila mmoja kwa mapokeo yake
 
Ila russia kuivamia ukraine unaona halali,waafrika bhana kuwa neutral ni mtihani sana kwetu!
Ndiyo Kwa Sababu wapalestina hawajawafanya chochote hao wanaojiita waisrael wakati Ukraine Kwa kushirikiana na NATO wanataka kuhatarisha usalama Wa warusi.
 
Mungu yehova ibariki Israel, wape amani na nguvu ya kurejesha ardhi yao according to biblia ilivyosema. Wabarikiwe wanao kubariki na walaaniwe wanao kulaani. Wabilah tawfiq.
 
ISRAEL taifa HARAMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…