Pompeo: Israel Haifanyi Uvamizi kwa Wapalestina bali Inatekeleza Maandiko ya Biblia

Pompeo: Israel Haifanyi Uvamizi kwa Wapalestina bali Inatekeleza Maandiko ya Biblia

Wakristo wote, tunapinga vitendo vya kionevu, mauaji, Hakuna binadamu alie juu ya binadamu mwenzie. Ukiona mkristo anawahusudu hao maharamia jua, ni mkristo tawi la waasi. Yani waprotestanti.
 
Wakristo wote, tunapinga vitendo vya kionevu, mauaji, Hakuna binadamu alie juu ya binadamu mwenzie. Ukiona mkristo anawahusudu hao maharamia jua, ni mkristo tawi la waasi. Yani waprotestanti.
Mkuu Mimi nawajua wakristo hawawezi kuwaita wayahudi maharamia mungu wao YEHOVAH kawakataza.Bali waislamu wanaweza kuwaita wayahudi maharamia sababu mungu wao ALLAH kawaruhusu.Kama wewe ni mkristo soma biblia yako vizuri kuhusu wayahudi Mkuu
 
Mkuu Mimi nawajua wakristo hawawezi kuwaita wayahudi maharamia mungu wao YEHOVAH kawakataza.Bali waislamu wanaweza kuwaita wayahudi maharamia sababu mungu wao ALLAH kawaruhusu.Kama wewe ni mkristo soma biblia yako vizuri kuhusu wayahudi Mkuu
Nimeisoma vizuri sana na kuelewa, mayahudi ni maharamia tu. Wakristo wote tunafahamu, except wakristo wa michongo, waprotestanti.
 
Wewe si mkristo mkuu.Wao wakristo wanaamini kupitia biblia wayahudi ni taifa lililobarikiwa na mungu wao YEHOVA.Lakini ukiwa muislamu nakuelewa kaka sababu mungu wao ALLAH kupitia quran amewalaani wayahudi.
Kwa hiyo hao Mashoga ndio wamebarikiwa?

Mimi siamini tamaduni ya Wayahudi hata kama Mkristo
 
Nimeisoma vizuri sana na kuelewa, mayahudi ni maharamia tu. Wakristo wote tunafahamu, except wakristo wa michongo, waprotestanti.
Sidhani mkuu kama wewe ni mkristo na umeisoma hiyo biblia yao.Term unayotumia ya kuwaita wayahudi"MAYAHUDI""ni neno la chuki linalotumiwa kuwataja wayahudi,na wao wakristo hawalitumiagi,bali linatumiwa sana na waislamu.Ukitaka kujua neno hilo baya,ebu jaribu kutamka MAARABU au MAZUNGU au MASWAHILI au MABANTU au MAAFRIKA au MACHINA au MAHINDI na ect......Nadhani umeshanielewa mkuu.
 
Huyo Mungu hafai hata kuombwa maji ya kunywa
Huyo ni mungu wa wakristo anaitwa YEHOVA au YAWEH, na anaabudiwa na wakristo.Ni kama vile waislamu wanavyomuabudu mungu wao anaeitwa ALLAH.Wote mpo sahii mkuu kila mmoja kwa mapokeo yake
 
Ila russia kuivamia ukraine unaona halali,waafrika bhana kuwa neutral ni mtihani sana kwetu!
Ndiyo Kwa Sababu wapalestina hawajawafanya chochote hao wanaojiita waisrael wakati Ukraine Kwa kushirikiana na NATO wanataka kuhatarisha usalama Wa warusi.
 
Mungu yehova ibariki Israel, wape amani na nguvu ya kurejesha ardhi yao according to biblia ilivyosema. Wabarikiwe wanao kubariki na walaaniwe wanao kulaani. Wabilah tawfiq.
 
Hakuna taifa haramu duniani, waliofeli ni wale waliopewa dhamana ya kutunza amani ya dunia, kwa sasa naona kama hakuna taifa la Palestine kwenye ramani ya dunia.

Na hilo ndo ilikuwa lengo kuu, na imetimia tayari bila shida, muhimu waislam na taasisi zao zote duniani ikubaliane na hili na ionyeshe kushirikiana na Israel kwa maslahi mapana ya waarabu wale wabaki na wapewe haki ya kuwa raia wa taifa la Israel ok.

Lakini kuendelea kupambana wakati tayari mmeshamezwa na na tayari mipaka ya nchi iliokuwa yenu haijulikani na haitambuliki tena kimataifa ni kutafuta tatizo lingine.

Why nasema haya, Palestine sio nchi tena hapa duniani bali ni eneo lenye mamlaka ndani ya taifa la Israel, hivyo basi waarabu wale waamue kufuta hiyo eneo lenye mamlaka ili wachukue utaifa wa Israel waijenge Israel yao kwa pamoja.

Katiba iandikwe upya ya Israel baada ya waarabu kuamua kufanya mamuzi magumu itakayo watambua na kulinda haki yao kama raia wa taifa la Israel.

Ila najua wengi watapinga coz ni wafia dini, na wanao nufaika na waarabu wale wa Palestine najua hawawezi kukubali hili coz watakatiwa mirija yao ya ulaji.
ISRAEL taifa HARAMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom