Ponda atakuwa zezeta soon hamtamsikia tena mbwembwe zote kwishneyyy
Uamuzi wa Jana dhidi ya Lwakatare haki imetendeka ila Leo 'mjomba' kaingilia, hahahaaa Husda inadumaza Akili sana,
Umeumia eehh!!Hapo atawaambia wafuasi wake allah yuko nao na kupiga 'takbir' kubwa. Serikali ikate rufaa huyu ni mmoja ya watu hatari kwa mstakabali wa taifa. Anafanya biashara ya dini sawa na makanisa ya watu binafsi yaliyozuka kama uyoga tangu ccm ije na sera yake ya biashara huria. ingefaa awe out of circulation for a very long time. 'chezea shilingi chooni' ndio kazi ya serikali hii.
Hujakosea mkuuUmeumia eehh!!
Maneno ya kijinga kabisa. Ptuuu!kwa hiyo afunguliwe kesi ya Kupiga Takbir kubwa na kuwahakikishia waislam Allah yu Pamoja nao? Halafu ukome kumfananisha Ponda na wafukua Misukule ya kichina, hana baishara ya kuchimbua mapepo wala hachangishi pesa huyo jamaa,CCM,CUF na CHADEMA wote wamejaribu kumtumia wamechemka Allah ndonguzo yake na Kwake ndo matarajio.Please tena Please usimfananishe kabisa huyo Jamaa na wafukua misukule na wale wanaokusanya fungu la kumi kujengea mahekalu yao Mbezi beach na fukwe zingine!
Yalishakukuta? Au weye ndiye muhudumu wa kuwazezetesha wenzio eeenh?Ponda atakuwa zezeta soon hamtamsikia tena mbwembwe zote kwishneyyy
afadhali kidogo sasa hivi badala ya kaburi la ccm kukamilika wamelifanya kuwa nusuMakahama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam, imemfunga kifungo cha nje cha mwaka mmoja katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda, huku washtakiwa wengine wote 49 wakiachiwa huru
..mlitegemea mahakama itoe hukumu ya aina gani? sishangai
Muda si mrefu Mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu imemhukumu shehe Ponda kifungo cha Miezi kumi na miwili na wenzake wameachiwa huru.
Huu ndio unafiki wa mahakama zetu!
Nilijua kesi nzima kilikuwa kitendawili tu, hakukuwa na ubavu wa kumfanya lolote Ponda. Ndani ya mwaka subirini alipue zogo lingine. Kumfunga Ponda Jela serikali inajua ingekiona cha moto kuelekea 2015. Wataendelea kutesa tu na madudu yao. Nina wasiwasi hata na hao walipua mabomu hata wakitiwa hatiani watafanywa nini, maana waarabu ndo mashemeji.Makahama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam, imemfunga kifungo cha nje cha mwaka mmoja katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda, huku washtakiwa wengine wote 49 wakiachiwa huru
..mlitegemea mahakama itoe hukumu ya aina gani? sishangai