ngoma ingekua ngumu kama jamaa angeenda jela wakati jana kuna mtu kafutia mashitaka kiulani sana.nakumbuka enzi za mkapa au mwinyi sikumbuki yupi.huyo ponda alifungwa jela.alipotoka alitulia kidogo kisha akaanza tena.hicho kifungo cha nje alichopewa ni kibaya sana ila wanashindwa kuelewa tu! Am sure hilo linaweza likawa tego!Kwani kwa mwaka huo wa kifungo anatakiwa àwe mtulivu sana!
vinginevyo inakula kwake hivi hivi!
ila adhabu ni lazima atumikie, kudeki,kufyeka nyasi,kufyagia ofice za serikali
maana yake Ameir wa Waislam yupo nje huru kabisa tena bila ya Pingu ila atakuwa anaenda kusabahi Mahakamani mara moja moja ndani ya Mwaka mmoja! Tugange yajayo, ila mwendo wa kudai kiwanja dhidi ya Mabakwata upo palepale Mabakwata wakabidhi mali za Waislam kwa Waislam waendelee na kazi zao za u Agency!
Wakuu,
Tuliifungia RADIO IMAAN bila kosa na tukabalance na kuifungia KWA NEEMA FM
Tumemuachia GAIDI LWAKATARE na kubalance hali ya hewa ya Amani ya nchi kwa kumuachia SHEIKH PONDA wao....!
Sasa tunaanza mwanzo mpyaaa....
tatizo ni kwamba kila dini,iwe jewish,christian,islam inatafuta kudominate the world.na katika hizo tatu utakuta jew wanawatumia christian kufikia agenda.christian wanawakandamiza muslim kufikia agenda.muslim wanapigana all the way through kufikia agenda.allah akbar, karibu tuendeleze harakati za kufanya "islam to dominate the world" in shaa allah.
kifungo cha nje ndio nini?
Toka tarehe 05 mi mwenzenu nimesahau hata jina la nchi yangu. Sijielewi sijui nipo Somalia au....
Si bure kunakitu,au yale mabomu ya arusha yalikuwa na ujumbe!kifungo cha nje ndio nini,hv tunaenda wapi?kifuatacho mmmmh!
allah akbartakbiiiiir.......