Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa mkuu, lakini unajua kuwa katika taasisi zinazoongoza kwa rushwa nchini, mahakama ipo juu?
Hapo atawaambia wafuasi wake allah yuko nao na kupiga 'takbir' kubwa. Serikali ikate rufaa huyu ni mmoja ya watu hatari kwa mstakabali wa taifa. Anafanya biashara ya dini sawa na makanisa ya watu binafsi yaliyozuka kama uyoga tangu ccm ije na sera yake ya biashara huria. ingefaa awe out of circulation for a very long time. 'chezea shilingi chooni' ndio kazi ya serikali hii.
Huko unakoelekea sio kuzuri, hata Waziri wako wa Mambo ya Ndani jana tu ameonya watu kama wewe waache kauli za uchochezi.Allah alisha sema haki na batwili haviwezi kaa pamoja. Kafungwa japo mwaka mmoja ili BAKWATA na BARAZA LA MITIHANI NECTA wapate japo amani ya muda mfupi
Serikali ikate rufaa kwa Rwakatare kwanza kwa kufutiwa kesi ya ugaidi wakati CD wanazo na kila kitu,
injustice......................................
Hapo amelindwa mtu mwenye Migulu ya Chemba, unafikiri Lwakatare akishtakiwa kwa ugaidi yeye atapona.Serikali ikate rufaa kwa Rwakatare kwanza kwa kufutiwa kesi ya ugaidi wakati CD wanazo na kila kitu,
Sawa sawa mkuu, lakini unajua kuwa katika taasisi zinazoongoza kwa rushwa nchini, mahakama ipo juu?
Aarghhhhhhhh!!!!!
Mbona wamempendelea hivyo!!!!
Makahama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam, imemfunga kifungo cha nje cha mwaka mmoja katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda, huku washtakiwa wengine wote 49 wakiachiwa huru
..mlitegemea mahakama itoe hukumu ya aina gani? sishangai
Ponda atakuwa zezeta soon hamtamsikia tena mbwembwe zote kwishneyyy