PONDA apewe dhamana

PONDA apewe dhamana

Status
Not open for further replies.
Mkuu bado tatizo ni lilelile kwa hawa jamaa ELIMU,hapo mwenzio kawaza na kufikiri mpaka mwisho akaona mfano mzuri wa kulinganisha hapo ni mashabiki wa yanga kuwa mvumilivu kwa kuangalia elimu yake we mtie moyo tu kwamba umemwelewa kwani hata ikikasirika hawezi fikiri zaidi ya hopo usitarajie hekima kwa mpuuzi kumbuka NI DHIHAKA KUMWOMBA CHURA KITI ILHALI YEYE ANACHUCHUMAA, hebu mvumilie tu.
Elimu y crashwise ni ndogo kwa sababu ana hoji uhalala wa Ponda kunyimwa mdhamana....
 
Na ili kumaliza kelele na maandamano yasiyo natija ni heri mahakama ikaamua kumhukumu kifungo cha maisha ili kelele ziishe.

Tumeshachoka kila siku PONDA PONDA PONDA.


MIZAMBWA
NABII MTARAJWIA!!!
 
Jaman hakuna haja ya kutumia nguvu nying kusambaratisha maandamano ya waislam Criminal Procedure Act inaelekeza makosa gani mtu hapewi thamana.pia mazingira ambayo mtu hapewi thamana. Ila kama kuna mazingira ambayo ponda hapewi thaman nafikiri uhuru kenyatta anayetuhumiwa kuua mamia ya watu asingekuwa kwenye kampen. Mpen Ponda bail akatunze familia yake.
tehe hehe tehe join date aise
 
lulu from April 012 to Jan 013 Almost nine month .
Ponda from October 012 up to date : Only three month

QUOTE=Domo Kaya;5696264]Lulu kauwa bila kukusudia kapewa dhamana, shehe Ponda kafanya nini kikubwa kisichstahili dhamana, dhamana ni haki ya kila mtu, apewe haki yakr[/QUOTE]
 
Watanganyika mna mambo,mafisadi wanaokutieni ufukara mnawapa uraisi,mashke wanaotetea raia mnawaweka ndani,mtapiga marktimer kwa ufukara mpaka mulie up!
 
Kweli nchi hii inakoenda siko. Suaka la ponda lhtaleta madhara. Kama ni gaid apelekwe ICC.sio kisutu. Achen hizo ndo hapo mnaleta udin jaman.

Kwani Icc ni mahakama ya nn na kisutu mahakama ya nn
Jaribu kutofautisha hizo kwanza

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kitendo cha Sheikh Ponda kuachiwa kinahatarisha amani na utulivu.
 
Wozawoza unavithibitisho gani kuwa ponda ni gaidi?unaelewa maana ya gaidi kwanza
 
Hakuna kumwachia mtu huyu, ni mdini na hatari kwa aman ya nchi. Mchochezi na mzandiki

Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
 
Lulu kauwa bila kukusudia kapewa dhamana, shehe Ponda kafanya nini kikubwa kisichstahili dhamana, dhamana ni haki ya kila mtu, apewe haki yakr

nilijua ni watu wavijiweni tu ambao elimu hamna ndio wanaweza fananisha kesi ya lulu na ponda kumbe hata wasomi.nafikiri imani yenu ni mzigo kwa dunia.mnatoa reference ya lulu kisa ni mkristo unajua crime scene wewe??? Elimu muhimu sana leo nikiwa mahali nasikia wazee wanabishana eti jinsi mtoto anavokaa tumboni ni alama za uislam na kila mtu anazaliwa msilam ndio maana wanabatiza kuondoa uslam,wakasema tena mida jogoo akiwika ni mida ya swalaaa.du!nikakonect dot za ponda nikaona there is problem somewhwre pelekeni viongozi wenu wa dini masomoni msikubali mtu mtu asimame mbele yenu hana masters au degree.mtaona kama hizi fujo za kila siku kzma zitakuwepo.ponda yupo chini ya sheria kama raia wengine wacha sheria ishike mkondo wape ,poor evidence
 
Hapa ili heshima ije ndani ya hii nchi lazima tupigane kama NIGERIA,sababu uonev umezidi dhidi ya uislamu.LAZIMA TUPIGANE KWANZA ILI ADABU IPATIKANE
 
Gaidi: mahusiano na AL SHABAB, wale wa Mombasa an hata Zanzibar. Hakuna dhamana kabisa mpka atakapopatikana hana hatia, hata muandamane mpka ahera... huu ndio ukweli kwa sisi tunaojua sheria
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom