Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
Elimu y crashwise ni ndogo kwa sababu ana hoji uhalala wa Ponda kunyimwa mdhamana....Mkuu bado tatizo ni lilelile kwa hawa jamaa ELIMU,hapo mwenzio kawaza na kufikiri mpaka mwisho akaona mfano mzuri wa kulinganisha hapo ni mashabiki wa yanga kuwa mvumilivu kwa kuangalia elimu yake we mtie moyo tu kwamba umemwelewa kwani hata ikikasirika hawezi fikiri zaidi ya hopo usitarajie hekima kwa mpuuzi kumbuka NI DHIHAKA KUMWOMBA CHURA KITI ILHALI YEYE ANACHUCHUMAA, hebu mvumilie tu.