Pongezi kwa CDF Jenerali Venance Salvatory Mabeyo

Pongezi kwa CDF Jenerali Venance Salvatory Mabeyo

Wew jamaa uelewa wako mdogo saana..mbona jpm alikuwa anaenda kanisani na camera zinamchukua akihutubia..vipi nae alikuwa anachanganya dini na serikali au??.
Magufuli alikuwa anachanganya dini na serikali.

Alikuwa mpaka anatoa miongozo ya kiserikali kutoka kanisani.

Unapotaka kutetea kitu, kitetee kwa kuonesha uzuri wake.

Usikitetee kwa kusema kilishafanyika hapo awali.

Kwa sababu, hata vitu vibaya inawezekana vimeshafanyika hapo awali.

Ulichoandika hapa ni kama mtu anatetea mauaji, kwa sababu kuna mtu aliua huko nyuma.
 
Kumbe nanishana na taliban
Wewe huna uwezo wa kufanya abstract thinking.

Mimi siamini uwepo wa Mungu, Taliban wanaamini, nitakuwaje Taliban?

Wewe kama unaamini uwepo wa Mungu upo karibu zaidi kuwa Taliban kuliko mimi.
 
Wewe huna uwezo wa kufanya abstract thinking.

Mimi siamini uwepo wa Mungu, Taliban wanaamini, nitakuwaje Taliban?

Wewe kama unaamini uwepo wa Mungu upo karibu zaidi kuwa Taliban kuliko mimi.
"Mpumba husema hakuna Mungu" zab 13
 
Unalazimisha kwamba sina amani.

Mimi nimejibu kwenye uzi ambao mtu kaanzisha, hii issue wala sikuileta mimi hapa.

Sasa wewe unaninyanyapaa kwamba mimi kuchangia hapa JF ni kukosa amani kwa sababu hukubaliani nami tu?

Unaunganisha mambo ambayo hayana uhusiano wowote.

Umezusha tu kwamba sina amani.

Kwa sababu, huna uwezo wa kukanusha hoja ya kwamba Jenerali kachanganya mambo ya dini na jeshi.

Umeshindwa hoja, unaleta viroja.
Mijadala yako mingi inaonyesha dhahiri kabisa kuwa uko hivyo, huna amani kabisa. Si kila unachoki-feel wewe nafsini mwako, lazima wewe ndiyo utuambie kuwa una feel vile halafu na sisi ndiyo tujue namna unavyojisikia, hapana. Na sisi binadamau watu wazima na wenye uwezo wa kubaini hata mambo ambayo yamefichwa kwenye nafsi na roho za watu wengine

Yapo mambo mengi yana belong to the self, utajaribu kuyaficha sana ili tusiyajue, lakini hatimaye tutayajua tu.
 
Mijadala yako mingi inaonyesha dhahiri kabisa kuwa uko hivyo, huna amani kabisa. Si kila unachoki-feel wewe nafsini mwako, lazima wewe ndiyo utuambie kuwa una feel vile halafu na sisi ndiyo tujue namna unavyojisikia, hapana. Na sisi binadamau watu wazima na wenye uwezo wa kubaini hata ambo ambayo yamefichwa kwenye nafsi na roho za watu wengine

Yapo mambo mengi yana belong to the self, utajaribu kuyaficha sana ili tusiyajue, lakini hatimaye tutayajua tu.
Yani wewe uniambie unachoki feel kuhusu mimi kusema ninacho ki feel lakini mimi nisiseme ninacho ki feel?

Wewe ndiye una haki ya kuandika unacho ki feel hapa, mimi sina haki hiyo, siyo?
 
Kwa hiyo kwa mfano, Profesa hatakiwi kuweka cheo hiki kwenye wasifu wake, just in case?
Wasifu wake wapi?

Wewe hata hoja yangu ya kuchanganya dini na kazi za serikali umeielewa?

Profesa akiweka U Profesa kwenye wasifu wake amechanganya vipi dini na kazi za serikali?
 
Back
Top Bottom