ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Watanzania kati ya vitu tunavyo ni JWT ni jeshi limezingatia weledi, mbinu imara katika medani za kivita
Watanzania tuna Imani na jeshi JWTZ na tunaliamini sana
Wanasiasa mmeharibu kila kitu Sasa tunaomba msijaribu kuingilia jeshi letu na kuliharibu
Leo tumeona Kagame kakimbia mwenyewe vita baada ya JWTZ kuonyesha Nia ya kuingia kifua mbele kuwafyeka m 23
Askari wetu wa JWTZ waliouawa ni hakika Kagame alipo anahaha na Nina Imani atalipa damu zao
JWTZ ndo wamemfukuza Kagame na wahuni wa m23 Congo DR
JWTZ waliwawezesha Burundi na Congo DR kuwavamia na kuwafata m 23
Inakadiriwa raia zaidi ya 900 wameuwawa pale Congo DR
Hongera JWTZ Kwa ushindi huko Congo DR
Watanzania tuna Imani na jeshi JWTZ na tunaliamini sana
Wanasiasa mmeharibu kila kitu Sasa tunaomba msijaribu kuingilia jeshi letu na kuliharibu
Leo tumeona Kagame kakimbia mwenyewe vita baada ya JWTZ kuonyesha Nia ya kuingia kifua mbele kuwafyeka m 23
Askari wetu wa JWTZ waliouawa ni hakika Kagame alipo anahaha na Nina Imani atalipa damu zao
JWTZ ndo wamemfukuza Kagame na wahuni wa m23 Congo DR
JWTZ waliwawezesha Burundi na Congo DR kuwavamia na kuwafata m 23
Inakadiriwa raia zaidi ya 900 wameuwawa pale Congo DR
Hongera JWTZ Kwa ushindi huko Congo DR