Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Huyu anapiga propaganda tuMbona M23 bado wapo Goma !!! wewe unasema ushindi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu anapiga propaganda tuMbona M23 bado wapo Goma !!! wewe unasema ushindi gani?
itakuwa kasinzia huyu. hawakawii kujikojolea hawa, nashauri aamshwe hrkMbona M23 bado wapo Goma !!! wewe unasema ushindi gani?
Ni jambo njema Urusi kualikwa,South Africa na JWTZ wameapa kulipa kisasi
Kumbuka South Africa ana Ushawishi Kwa Russia, Sasa hapo nadhani unajua Russia akialikwa na South hauchelewi kuja Goma.
Putin hana masihara
Kagame amepiga hizo hesabu akakimbia
Wewe Wacha Uchawa Wako Pimbi weeee, kula ugari Wako ukalale Kwa ShemejiWalioko Goma wanasema m23 hawapo wapo majeshi ya serikali ya Congo DR, JWTZ na south Africa
Hakuna operation tuliyoshindwa. Unasemaje ni dhaifu?Labda ungesema jeshi la afrika kusini ndilo limewaondoa hao m23 na siyo hiyo dhaifu inayoitwa jeiwi.JWTZ ni miongoni mwa majeshi matatu dhaifu kupindukia duniani.
Operationi ya maana hakuna ispokuwa operation uchwara ya kuzuia chadema siku ile walifanya usafi barabarani Nchi nzima lengo ni kuzuia chadema wasiandamane.Hakuna operation tuliyoshindwa. Unasemaje ni dhaifu?
Tafuta operation za JW bosi achana na hizo za kisiasa.Operationi ya maana hakuna ispokuwa operation uchwara ya kuzuia chadema siku ile walifanya usafi barabarani Nchi nzima lengo ni kuzuia chadema wasiandamane.
Hamna kitu hapo jeshi likishaingiza siasa ni Mavi tuTafuta operation za JW bosi achana na hizo za kisiasa.
Kuna muda ni ngumu Sana kuelewa!!!! Hivi unafanya mazungumzo ya kuleta amani na kikundi Cha wahuni walio amua kufanya uporaji na mauaji????!!!?Watanzania kati ya vitu tunavyo ni JWT ni jeshi limezingatia weledi, mbinu imara katika medani za kivita
Watanzania tuna Imani na jeshi JWTZ na tunaliamini sana
Wanasiasa mmeharibu kila kitu Sasa tunaomba msijaribu kuingilia jeshi letu na kuliharibu
Leo tumeona Kagame kakimbia mwenyewe vita baada ya JWTZ kuonyesha Nia ya kuingia kifua mbele kuwafyeka m 23
Askari wetu wa JWTZ waliouawa ni hakika Kagame alipo anahaha na Nina Imani atalipa damu zao
JWTZ ndo wamemfukuza Kagame na wahuni wa m23 Congo DR
JWTZ waliwawezesha Burundi na Congo DR kuwavamia na kuwafata m 23
Inakadiriwa raia zaidi ya 900 wameuwawa pale Congo DR
Hongera JWTZ Kwa ushindi huko Congo DR
Mjinga wewe m23 wahuni kwako Kwa wenzio wapigania haki jinga sana weweKuna muda ni ngumu Sana kuelewa!!!! Hivi unafanya mazungumzo ya kuleta amani na kikundi Cha wahuni walio amua kufanya uporaji na mauaji????!!!?
Kama lugha yao ni kupigana Basi huna budi nawe kupigana Tena upo nyumbani kwako!!!!!!
EAC wafanye maamuzi ya kuruhusu Vita vipiganwe Kati ya hao waasi m23 na vikosi vya kulinda amani vibadili jina na kuitwa Vikosi vya maangamizi alaf majibu take yatapatikani tu ama huyo mfadhili alete nae Vikosi full Toka Rwanda.
Watch ua self ,Labda ungesema jeshi la afrika kusini ndilo limewaondoa hao m23 na siyo hiyo dhaifu inayoitwa jeiwi.JWTZ ni miongoni mwa majeshi matatu dhaifu kupindukia duniani.
Mbona tuliambiwa M23 wamesitisha mapigano kwasababu za kibinadamuLeo tumeona Kagame kakimbia mwenyewe vita baada ya JWTZ kuonyesha Nia ya kuingia kifua mbele kuwafyeka m 23
Askari wetu wa JWTZ waliouawa ni hakika Kagame alipo anahaha na Nina Imani atalipa damu zao
JWTZ ndo wamemfukuza Kagame na wahuni wa m23 Congo DR
JWTZ waliwawezesha Burundi na Congo DR kuwavamia na kuwafata m 23
Inakadiriwa raia zaidi ya 900 wameuwawa pale Congo DR
Hongera JWTZ Kwa ushindi huko Congo DR
Jeshi la maonyesho December 09Labda ungesema jeshi la afrika kusini ndilo limewaondoa hao m23 na siyo hiyo dhaifu inayoitwa jeiwi.JWTZ ni miongoni mwa majeshi matatu dhaifu kupindukia duniani.
Dhaifu eeeh, lkn ni kwa mtazamo wako...inaonekana ni kwajinsi Gani hujuwi vizuri muundo mzima wa JWTZ ktk ufanisi wake kijasusi na hata kihistoria hasa kikanda. Heshim Tena sana sio kidogo mfumo mzima wa usalama wa nchi ya Tanzania na majeshi yake sio yakuyabeza hata kidogo, watu wanao elewa vizur JWTZ na utendaji wake wanaelewa nini ninachoandikaLabda ungesema jeshi la afrika kusini ndilo limewaondoa hao m23 na siyo hiyo dhaifu inayoitwa jeiwi.JWTZ ni miongoni mwa majeshi matatu dhaifu kupindukia duniani.
Ubora wa jeshi ni pamoja na vifaa vya kisasa.sasa wao hutuonesha silaha za mwaka 1940 hapo utasema kunajeshi? Labda ungesema jeshi letu lipo vizuri Kwa kubangua korosho kwa meno hapo nitakuelewa.Maana kipindi kile tuliwaona walivyomahili Kwa kubangua korosho kwa menoDhaifu eeeh, lkn ni kwa mtazamo wako...inaonekana ni kwajinsi Gani hujuwi vizuri muundo mzima wa JWTZ ktk ufanisi wake kijasusi na hata kihistoria hasa kikanda. Heshim Tena sana sio kidogo mfumo mzima wa usalama wa nchi ya Tanzania na majeshi yake sio yakuyabeza hata kidogo, watu wanao elewa vizur JWTZ na utendaji wake wanaelewa nini ninachoandika