Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Wewe tukuamini vipi kwani jwtz ina wanajeshi wangapi huko drcM 23 wameweka mpira kwapani na kukimbia.
Wanasema ati wanasitisha vita lakini kiukweli mziki umekuwa mnene
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tukuamini vipi kwani jwtz ina wanajeshi wangapi huko drcM 23 wameweka mpira kwapani na kukimbia.
Wanasema ati wanasitisha vita lakini kiukweli mziki umekuwa mnene
Dogo una miaka mingapi kimwili na kiakiliKwa umri na uelewa wako hizi ni taarifa ngumu kwako kuzielewa
Hao washapigwaM-vingt-trois wamekula kichapo mfulilizo wamezidiwa wanajifanya wamesimamisha for humanitarian reason. Kusimamisha vita kwa sababu za kibinaadamu Huwa ni makubaliano ya pande mbili Sasa wameibuka wenyewe baada ya kuzidiwa wanavuna walichokipanda.
Kusitisha mapigano wakati ulipo syo kwako ni dalili ya kushindwa,.. akili sana wale M23Mbona M23 bado wapo Goma !!! wewe unasema ushindi gani?
Mnaleta ushabiki kwenye mambo ya msingiSouth Africa na JWTZ wameapa kulipa kisasi
Kumbuka South Africa ana Ushawishi Kwa Russia, Sasa hapo nadhani unajua Russia akialikwa na South hauchelewi kuja Goma.
Putin hana masihara
Kagame amepiga hizo hesabu akakimbia
Hayo yanaonyesha mfumo wa kijeshi ume felihuu ngogoro kila nchi inajimwambafai kwamba wao ndio kiboko, ukiingia YouTube south Africa wasema wao ndio wanalinda amani ya kongo miaka yote.
Bila kuleta ushahidi ni story za vijiweni tu.Walioko Goma wanasema m23 hawapo wapo majeshi ya serikali ya Congo DR, JWTZ na south Africa
Wakongo wameendekeza sana kukata viuno na kupaka mkorogo hawawezi kupigana. Nadhani hata mgambo wa TZ wana uwezo kuliko wakongo.Ndio ila maeneo bado yapo chini yao , kwahiyo mazungumzo ndio yataleta picha ila jeshi la CONGO haliwezi