Pongezi Kwa JWTZ Kwa kuwafurusha Kagame na M23

Mjinga wewe m23 wahuni kwako Kwa wenzio wapigania haki jinga sana wewe
Sawa, naomba kufahamu jambo Toka kwako ndugu, iwapo nahitaji muafaka nawe na nikiwa mwenyeji wa uasi wako na bado kila dalili inaonyesha unapata usaidizi Toka pembeni!!!! Je Mimi natakiwa kufanya nini? Nibaki na amani nyumbani kwangu.
 
Sawa, naomba kufahamu jambo Toka kwako ndugu, iwapo nahitaji muafaka nawe na nikiwa mwenyeji wa uasi wako na bado kila dalili inaonyesha unapata usaidizi Toka pembeni!!!! Je Mimi natakiwa kufanya nini? Nibaki na amani nyumbani kwangu.
We ndio muasi unatapeli haki za wananchi full stop wananchi wameamua kupambania haki Yao
 
We ndio muasi unatapeli haki za wananchi full stop wananchi wameamua kupambania haki Yao
Mwananchi yupi?! Ambae analia Vita inmnyima haki ya kwenda kujitafutia na kuishi maisha take kwa Uhuru!!!!
Ngoja nikwambie kitu ndugu changmoto kubwa yetu tunashindwa kufanya maamuzi sahihi sababu tunaogopa mabadiliko na gharama yake Ila ianpofikia hatua ya wageni kuona fursa na kuzitumia ndo tunalalamika, ndo kinachotokea Congo na Africa kwa ujumla.
Natamani kuona Africa mzima ni marafiki Ila leo unaweza kutana na Mganda na bado mkabaguana haijlishi Nani anataka ukaribu.
Ukimpata wa lugha tofauti nawe embu jaribu siku kuwasiliana nae kwa lugha yake alafu matokeo njoo uniambie ndugu.
 
Labda ungesema jeshi la afrika kusini ndilo limewaondoa hao m23 na siyo hiyo dhaifu inayoitwa jeiwi.JWTZ ni miongoni mwa majeshi matatu dhaifu kupindukia duniani.
Ndio maana CCM inauza nchi wao wanajifanya hawahusiki!
 
Mkuu,itakuwa jeshi la ulinzi la taifa lililo moyon mwako linapata upinzan mkubwa kutoka JW,ndo maana unafosi kuishusha thamani JW ili upate amani ya moyo.

I
 

Aisee!
 
M 23 wameweka mpira kwapani na kukimbia.
Wanasema ati wanasitisha vita lakini kiukweli mziki umekuwa mnene
Wako na Uganda amkuu wanerudiahanmji MMOJA walioingia mbwa wale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…