Mkuu Iconoclastes unajitahidi sana kutumia kiswahili kama cha kibongo. Nahisi unaishi au uliishi mazingira ambayo wanazungumza kiswahili kwa kiasi kikubwa kuliko maeneo mengi ya Kenya.Na je, ukiwa unaishi kwenye mazingira ambamo lugha yenyewe haizungumzwi katika uhalisia wake? Kwahivyo, sidhani ni mazoea, ni mazingira ya eneo ulikokulia.
Mtoto mtanzania mwenye umri wa miaka tano akija huku Kenya, itachukua miezi michache tu aanze kusahau ile Kiiswahili chake cha kibongo, vv for mtoto kutoka Kenya akihamishwa Tanzania.
Kweli boss ndo maana niliileta humu kwa thinkersSio habari za kweli hizi. Ni uvumi. Hilo ni tukio mbaya sana kwa sasa ungekuwa unavuma kwenye vyombo vyote vya habari Kenya.
Nashukuru.Mkuu Iconoclastes unajitahidi sana kutumia kiswahili kama cha kibongo. Nahisi unaishi au uliishi mazingira ambayo wanazungumza kiswahili kwa kiasi kikubwa kuliko maeneo mengi ya Kenya.
Lakini waulize waKenya wengi wakwambie rangi ya blue inaitwaaje kwa kiswahili nakwambia 80% - 90% hawawezi toa jibu sahihi.Wakenya wengi tu wana uwezo wa kuandika kiswahili aina hicho, mimi nikiwemo mmoja wa magwiji wa lugha hili huku Kibera.
Lakini waulize waKenya wengi wakwambie rangi ya blue inaitwaaje kwa kiswahili nakwambia 80% - 90% hawawezi toa jibu sahihi.
Etiiiii eeeeeWakenya wengi tu wana uwezo wa kuandika kiswahili aina hicho, mimi nikiwemo mmoja wa magwiji wa lugha hili huku Kibera.