Pongezi kwa Rais Samia na Dr Hussein Mwinyi Kuifanya Tanzania Bara na visiwani kuwa Salama na Tulivu na kutujengea Matumaini

Umesahau kuweka picha yako ndugu..... Italeta maana zaidi....
 
Basi wewe unatatizo mahali, maana Kama unatamani ukoloni katika Karne hii bila shaka unahitaji ushauri wa kisaikolojia, maana Hakuna binadamu mwenye akili ya kawaida anayeweza kutamani kuyaona Tena machungu na mateso ya ukoloni

Nipe tofauti ya Mkoloni mweupe na huyu mkoloni mweusi, au kwakuwa ww uko kwenye mlo? Kwa taarifa yako hata wakati wa mkoloni mweupe kuna watu walikuwa kwenye mlo kama ww, na waliona mkoloni yuko sahihi.
 
Ni lini mataifa hata yalishindwa kuwa salama na katika uongozi wa nani?
 
Nipe tofauti ya Mkoloni mweupe na huyu mkoloni mweusi, au kwakuwa ww uko kwenye mlo? Kwa taarifa yako hata wakati wa mkoloni mweupe kuna watu walikuwa kwenye mlo kama ww, na waliona mkoloni yuko sahihi.
Unanishangaza unapohitaji ukoloni hapa nchini kwetu katika nchi iliyo huru na inayojiamulia Mambo yake, huku kila mtanzania akishiriki katika ujenzi wa Taifa letu, Sasa wewe upo unaishi katika fikira za kikoloni katika miaka hii, hivyo Ni ngumu kuelewana maana hapo Ni kichuguu na mlima, wewe Ni kichuguu na Mimi ni mlima
 
Kiongozi anayefanya vizuri lazima apongezwe muda wote kwa kufanya vyema, hakika viongozi wetu Hawa Ni wachapa kazi na wenye dhamira ya dhati katika kutukwamua kimaisha wananchi
Utahangaika sana. Lkn wenye macho hawaambiwi tazama.
 

Toka lini chawa akawa mlima?
 
Wewe usiye na mawazo ya kikoloni niambie , mafia, ukerewe na visiwa vingine vya Tanganyika , hivyo utaviita Tanzania bara ? Au visiwani?
 
Wewe usiye na mawazo ya kikoloni niambie , mafia, ukerewe na visiwa vingine vya Tanganyika , hivyo utaviita Tanzania bara ? Au visiwani?
Naona bado unakuwa mbishi tu kwa kutaka kutamani ukoloni na Mambo yake, Nimekwambia kwanini usijivunie kitu au Jambo lililofanikiwa unalojuwa limetokana na fikra zako mwenyewe
 
Walikuja wengi sana kama wewe..ila walikimbia wenyewe baada ya wao kutumika kama toilet pepa..

Uvccm huwa ni toilet pepa mwisho wenu ni kwenye tundu la choo.

Pole sana endelea kutumia ukiamini watakuona uteuliwe huo muda ungeenda kufanya hata vibarua ili kusaidia ndugu zako ili waondeokane kwenye lindi la umasikini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…