Pongezi kwa Rais Samia na Dr Hussein Mwinyi Kuifanya Tanzania Bara na visiwani kuwa Salama na Tulivu na kutujengea Matumaini

Pongezi kwa Rais Samia na Dr Hussein Mwinyi Kuifanya Tanzania Bara na visiwani kuwa Salama na Tulivu na kutujengea Matumaini

Ulipiga kura ukaambiwa haikuhesabiwa? Lazima ukubali ukweli wa kuwa Hawa viongozi wetu wametujengea umoja wa kitaifa ambapo Sasa watanzania tunajiona tuna nafasi katika kuijenga nchi yetu

Lakini pia kila kipatikanancho na kufanikiwa tunaona Ni chetu sote, kwa kuwa tunashirikishwa katika kuijenga nchi yetu na hatua mbalimbali zinazochikuliwa na serikali yetu kwa manufaa yetu sote

Hakuna anayeachwa nyuma katika uongozi wa Hawa viongozi wetu, Hakuna anayesahaulika Wala kubaguliwa, wote tunasonga mbele kwa pamoja na tunajuwa tunaelekea wapi Kama Taifa

Sina shaka na wizi wa kura uliofanyika. Kwa taarifa yako hata wakoloni walijenga reli na tuliona ni zetu. Wewe na chawa wenzako ndio unaona mnashirikishwa, na sio kila mtu.
 
Ni wapi mh mama Samia suluhu Hassani pamoja na Dr Hussein Ali Mwinyi walisimamia mauaji unayoyasema wewe hapa? Hawa Ni viongozi ambao hawawezi kufanya dhambi hiyo, Ni viongozi wenye hofu ya Mwenyezi Mungu na wanaopenda maridhiano pale tulipoumizana au kukoseana, ndio maana unaona Ikulu Ni ya watanzania wote na milango yake ipo wazi

Unadhani hayo mauaji na kuacha wetu na vilema vya maisha ni jambo la siri? Umeona wakifidia mauji na ukatali wa kwenye uchaguzi ule?
 
M
Umekuwa chawa kuliko ata wale waliokutangulia
Mambo yanayofanywa na viongozi wetu Hawa Ni makubwa Sana na hauwezi kuyamaliza kuyaelezea hapa, kwa kuwa kila eneo linalo mgusa mwananchi limefanikiwa kuguswa na viongozi wetu hawa
 
Sina shaka na wizi wa kura uliofanyika. Kwa taarifa yako hata wakoloni walijenga reli na tuliona ni zetu. Wewe na chawa wenzako ndio unaona mnashirikishwa, na sio kila mtu.
Ndio wakoloni walijenga miundombinu Kama shule,reli, barabara na hata ofisi nzuri lakini tukadai Uhuru wetu na kuwafukuza, hii Ni kwa kuwa tulihitaji kuwa huru na kujiamulia Mambo yetu wenyewe na kujipangia mipango yetu,

Kwa Sasa hayo yote yanafanywa kwa kiwango kikubwa na kwa Kasi kubwa huku sisi wananchi tukishiriki katika ujenzi wa Taifa letu, miradi yote inayojengwa lazima watanzania utawakuta wakishiriki, ajira zinaendelea kutolewa kupitia miradi hiyo bila ubaguzi,

yoyote pia anaweza kuwa kiongozi au kuchaguliwa kuwa kiongozi bila ubaguzi Wala kubaguliwa, kinachoangaliwa Ni sifa alizonazo mtu na Kama anaweza akayamudu majukumu ya kazi husika

Chini ya viongozi wetu Hawa nchi yetu Ina amani na utulivu mkubwa Sana, nchi inasonga mbele kwa Kasi, wananchi wanajiona fahari kuitwa watanzania na wanajivunia kuzaliwa Tanzania
 
Ndio wakoloni walijenga miundombinu Kama shule,reli, barabara na hata ofisi nzuri lakini tukadai Uhuru wetu na kuwafukuza, hii Ni kwa kuwa tulihitaji kuwa huru na kujiamulia Mambo yetu wenyewe na kujipangia mipango yetu,

Kwa Sasa hayo yote yanafanywa kwa kiwango kikubwa na kwa Kasi kubwa huku sisi wananchi tukishiriki katika ujenzi wa Taifa letu, miradi yote inayojengwa lazima watanzania utawakuta wakishiriki, ajira zinaendelea kutolewa kupitia miradi hiyo bila ubaguzi,

yoyote pia anaweza kuwa kiongozi au kuchaguliwa kuwa kiongozi bila ubaguzi Wala kubaguliwa, kinachoangaliwa Ni sifa alizonazo mtu na Kama anaweza akayamudu majukumu ya kazi husika

Chini ya viongozi wetu Hawa nchi yetu Ina amani na utulivu mkubwa Sana, nchi inasonga mbele kwa Kasi, wananchi wanajiona fahari kuitwa watanzania na wanajivunia kuzaliwa Tanzania

Narudia tena, miradi ya wakati wa wakoloni wananchi walikuwa hawashiriki?
 
Kwani umesahau habari za utumwa? Pia Ni miradi iliyojengwa kimkakati katika kuhakikisha inamsaidia na kumnufaisha mkoloni katika kutunyonya na kujipa faida yeye

Ni miradi iliyokuwa mahususi katika kuzifyonza Rasilimali zetu kutoka mahali zilipo, ndio maana uliona Barabara zikijengwa kuelekea huko,

Hawakujenga ili sisi watanzania tunufaike nayo Bali iwanufaishe wao na mataifa yao kwa jasho letu wenyewe

Lakini Leo hii miradi inajengwa kila Kona ya nchi kwa manufaa yetu wenyewe baada ya kufanyika tathimini ya N
Mahitaji ya huduma fulani, ndio maana unaona kila eneo likijengwa Miundombinu mbalimbali bila ubaguzi

Hata hivyo sijuwi Kama unaweza ukaelewa kwa hayo machache niliyo kueleza maana mawazo na fikira zako bado zimetawaliwa na wakoloni, bado unaishi miaka ya 20 wakati sisi tupo 2022, bado kwako kumbe akili yako inapenda kutawaliwa kuliko kujitawala na kujiongoza, bado akili yako inataka ufungwa minyororo miguuni na kuchapwa mijeredi, bado kumbe akili yako inatamani ukauzwe sokoni Kama mnyama, bado unataka maisha Yale ya kikoloni ya kudhalilishwa utu wetu Kama wanyama

Kiufupi huwezi ukaturudisha huko Tena maana Babu zetu walipigana kutukomboa sisi zidi ya utumwa huo
Narudia tena, miradi ya wakati wa wakoloni wananchi walikuwa hawashiriki?
 
Kwani umesahau habari za utumwa? Pia Ni miradi iliyojengwa kimkakati katika kuhakikisha inamsaidia na kumnufaisha mkoloni katika kutunyonya na kujipa faida yeye

Ni miradi iliyokuwa mahususi katika kuzifyonza Rasilimali zetu kutoka mahali zilipo, ndio maana uliona Barabara zikijengwa kuelekea huko,

Hawakujenga ili sisi watanzania tunufaike nayo Bali iwanufaishe wao na mataifa yao kwa jasho letu wenyewe

Lakini Leo hii miradi inajengwa kila Kona ya nchi kwa manufaa yetu wenyewe baada ya kufanyika tathimini ya N
Mahitaji ya huduma fulani, ndio maana unaona kila eneo likijengwa Miundombinu mbalimbali bila ubaguzi

Hata hivyo sijuwi Kama unaweza ukaelewa kwa hayo machache niliyo kueleza maana mawazo na fikira zako bado zimetawaliwa na wakoloni, bado unaishi miaka ya 20 wakati sisi tupo 2022, bado kwako kumbe akili yako inapenda kutawaliwa kuliko kujitawala na kujiongoza, bado akili yako inataka ufungwa minyororo miguuni na kuchapwa mijeredi, bado kumbe akili yako inatamani ukauzwe sokoni Kama mnyama, bado unataka maisha Yale ya kikoloni ya kudhalilishwa utu wetu Kama wanyama

Kiufupi huwezi ukaturudisha huko Tena maana Babu zetu walipigana kutukomboa sisi zidi ya utumwa huo

Hata sasa tuko chini ya wakoloni weusi, ni bora mkoloni mweupe maana alitoa elimu Bora.
 
Hata sasa tuko chini ya wakoloni weusi, ni bora mkoloni mweupe maana alitoa elimu Bora.
Basi wewe unatatizo mahali, maana Kama unatamani ukoloni katika Karne hii bila shaka unahitaji ushauri wa kisaikolojia, maana Hakuna binadamu mwenye akili ya kawaida anayeweza kutamani kuyaona Tena machungu na mateso ya ukoloni
 
Bila Shaka huna hoja ndio maana umeshindwa kuiweka hapa hoja inayopingana na niliyo yaelezea
Sasa hiyo hoja nitaitoa wapi na wakati wewe mwenyewe ulichokiandika hapo juu unakijua mwenyewe!

Unatahadharishwa kuchukua hatua ili usije kuchanganyikiwa kabisa! Unakaza fuvu!! Shauri yako mwenyewe. Wewe endelea tu kujitoa ufahamu, huku ukisifia vitu vya kijinga.
 
Sasa hiyo hoja nitaitoa wapi na wakati wewe mwenyewe ulichokiandika hapo juu unakijua mwenyewe!

Unatahadharishwa kuchukua hatua ili usije kuchanganyikiwa kabisa! Unakaza fuvu!! Shauri yako mwenyewe. Wewe endelea tu kujitoa ufahamu, huku ukisifia vitu vya kijinga.
Mimi nimeongea na kuandika ukweli juu ya Yale wayatendayo viongozi wetu Hawa wakuu
 
Ndugu zangu ,muunganiko wa Mh mama Samia suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania pamoja na Dr Hussein Ali Mwinyi Rais wa Zanzibar umejenga Taswira ya kipekeee ya kiuongozi na namna ya kuongoza kwao,

Ndugu zangu, kwanza wote wawili Ni viongozi wanaoamini katika Maridhiano na mshikamano, Hii ndio sababu utaona namna pande zote mbili yaani Bara na visiwani kukiwa salama na tulivu, Ni viongozi wanaoamini kuwa watanzania wote Wana nafasi sawa katika ujenzi wa Taifa Hili na Wana haki sawa katika nchi yetu,

Viongozi wetu Hawa wote wanaamini kuwa tunaweza tukawa tunatofauti zetu za kisiasa katika nchi lakini tukawa wamoja katika ujenzi wa Taifa letu na tukamkabili kwa pamoja adui yoyote Yule na kumshinda na ushindi ukawa wetu sote

Ni viongozi wenye kutumia hekima na busara kubwa Sana katika kauli zao na hata matendo yao, huwaoni wakimuumiza mtu kwa kauli au matendo ili wajipatie sifa binafsi, Ni viongozi wenye utulivu wa kifikra na kimaamuzi, Ni viongozi wanaopenda kuelekeza na kufuatilia utekelezaji wa maelekezo yao

Ni viongozi wanaoamini katika umoja wa kitaifa na mshikamano wa watanzania, ndio maana kwao kukaa na mpinzani meza moja siyo shida Wala ajabu, Jambo hili limewasaidia katika kuongoza Taifa letu, kwa kuwa Hali hii imepelekea kupandwa mbegu ya kuaminiana na kusikilizana, ndio maana huoni mavurugu Wala makauli mazito mazito ya kuombea mabaya nchi yetu toka kwa viongozi wa upinzani

Hii inatokana na ukweli kwamba hata viongozi wa upinzani wamejenga Imani kubwa na kuwa na matumaini makubwa wa kauli zitokazo katika ndimi za viongozi Hawa

Ni viongozi wenye hofu kubwa Sana ya Mwenyezi Mungu na wamejawa na mioyo ya huruma na upendo kwa wananchi, Ni viongozi wenye macho ya huruma na wanaotamani kumgusa kila mwananchi mwenye shida ili waweze kumsaidia, siyo viongozi wenye uchu wa madaraka Bali madaraka na uongozi huwafuata wao kutokanaa na kibali walichokipata kutoka kwa Mwenyezi Mungu,

Mimi Lucas Mwashambwa naweza kusema Hawa viongozi wetu wameinuliwa na Mwenyezi Mungu ili kuja kutuinua sisi watanzania,wametuunganisha Kama Taifa, wametujengea matumaini makubwa Sana Kama nchi

Rai yangu kwa watu wanaotamani siku moja kuwa viongozi, Wana mengi Sana ya kujifunza kutoka kwa viongozi wetu hawa, kuwa unaweza kuwa kiongozi bila kuumiza wengine, unaweza kupendwa na kuheshimika na watu bila kuwadhalilisha wengine, unaweza kuinuliwa bila hata kuwashusha wengine, unaweza kukaa katika ofisi kuu bila kufunga ofisi za watu wengine na unaweza kufanikiwa kiuongozi bila kukwamishwa wengine, inua walioanguka maana wanaweza kuja kukusaidia utakapoelemewa na mzigo kuliko ukiwaacha nyuma kwa kutamani kuwahi mbele

Hakika Tanzania itakuja kusimulia kwa vizazi vijavyo juu ya muunganiko huu wa Mh mama Samia suluhu Hassani pamoja na Dr Hussein Ali Mwinyi kwa namna walivyo ituliza nchi yetu na kujenga umoja na mshikamano wetu

Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki Sana, azidi kuwajalia Afya njema na nguvu za kututumikia watanzania, Najuwa wapo wachachee wasio penda namna wanavyoendelea kuungwa mkono na watanzania, maana unaweza kuta wapo wanaoombea waone wakihalibu na kuchukiwa na watanzania , Lakini kwa bahati nzuri maombi ya mamillioni ya watanzania yamekuwa makubwa Sana kwa viongozi wetu Hawa na Mungu amekuwa upande Wao muda na wakati wote, Ndio maana unaona utulivu na Amani iliyo Tamalaki katika nchi yetu, Asante
Unatumia mbinu za kizamani katika utafutaji wa uteuzi na nyie ndo mkipewa nafasi mko radhi kujidharilisha ili kumlidhisha mteuzi.
 
Unatumia mbinu za kizamani katika utafutaji wa uteuzi na nyie ndo mkipewa nafasi mko radhi kujidharilisha ili kumlidhisha mteuzi.
Mimi natumia Uhuru wangu kueleza maoni yangu ya ukweli juu ya viongozi wetu Hawa waliotokea kukubalika na kuaminika na watu wengi wa vyama tofauti tofauti, ndio maana unaona kwa Sasa wakiungwa mkono kwa kiwango Cha hali ya juu
 
Tupunguze kusifia watanzania
Kiongozi anayefanya vizuri lazima apongezwe muda wote kwa kufanya vyema, hakika viongozi wetu Hawa Ni wachapa kazi na wenye dhamira ya dhati katika kutukwamua kimaisha wananchi
 
Ndugu zangu ,muunganiko wa Mh mama Samia suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania pamoja na Dr Hussein Ali Mwinyi Rais wa Zanzibar umejenga Taswira ya kipekeee ya kiuongozi na namna ya kuongoza kwao,

Ndugu zangu, kwanza wote wawili Ni viongozi wanaoamini katika Maridhiano na mshikamano, Hii ndio sababu utaona namna pande zote mbili yaani Bara na visiwani kukiwa salama na tulivu, Ni viongozi wanaoamini kuwa watanzania wote Wana nafasi sawa katika ujenzi wa Taifa Hili na Wana haki sawa katika nchi yetu,

Viongozi wetu Hawa wote wanaamini kuwa tunaweza tukawa tunatofauti zetu za kisiasa katika nchi lakini tukawa wamoja katika ujenzi wa Taifa letu na tukamkabili kwa pamoja adui yoyote Yule na kumshinda na ushindi ukawa wetu sote

Ni viongozi wenye kutumia hekima na busara kubwa Sana katika kauli zao na hata matendo yao, huwaoni wakimuumiza mtu kwa kauli au matendo ili wajipatie sifa binafsi, Ni viongozi wenye utulivu wa kifikra na kimaamuzi, Ni viongozi wanaopenda kuelekeza na kufuatilia utekelezaji wa maelekezo yao

Ni viongozi wanaoamini katika umoja wa kitaifa na mshikamano wa watanzania, ndio maana kwao kukaa na mpinzani meza moja siyo shida Wala ajabu, Jambo hili limewasaidia katika kuongoza Taifa letu, kwa kuwa Hali hii imepelekea kupandwa mbegu ya kuaminiana na kusikilizana, ndio maana huoni mavurugu Wala makauli mazito mazito ya kuombea mabaya nchi yetu toka kwa viongozi wa upinzani

Hii inatokana na ukweli kwamba hata viongozi wa upinzani wamejenga Imani kubwa na kuwa na matumaini makubwa wa kauli zitokazo katika ndimi za viongozi Hawa

Ni viongozi wenye hofu kubwa Sana ya Mwenyezi Mungu na wamejawa na mioyo ya huruma na upendo kwa wananchi, Ni viongozi wenye macho ya huruma na wanaotamani kumgusa kila mwananchi mwenye shida ili waweze kumsaidia, siyo viongozi wenye uchu wa madaraka Bali madaraka na uongozi huwafuata wao kutokanaa na kibali walichokipata kutoka kwa Mwenyezi Mungu,

Mimi Lucas Mwashambwa naweza kusema Hawa viongozi wetu wameinuliwa na Mwenyezi Mungu ili kuja kutuinua sisi watanzania,wametuunganisha Kama Taifa, wametujengea matumaini makubwa Sana Kama nchi

Rai yangu kwa watu wanaotamani siku moja kuwa viongozi, Wana mengi Sana ya kujifunza kutoka kwa viongozi wetu hawa, kuwa unaweza kuwa kiongozi bila kuumiza wengine, unaweza kupendwa na kuheshimika na watu bila kuwadhalilisha wengine, unaweza kuinuliwa bila hata kuwashusha wengine, unaweza kukaa katika ofisi kuu bila kufunga ofisi za watu wengine na unaweza kufanikiwa kiuongozi bila kukwamishwa wengine, inua walioanguka maana wanaweza kuja kukusaidia utakapoelemewa na mzigo kuliko ukiwaacha nyuma kwa kutamani kuwahi mbele

Hakika Tanzania itakuja kusimulia kwa vizazi vijavyo juu ya muunganiko huu wa Mh mama Samia suluhu Hassani pamoja na Dr Hussein Ali Mwinyi kwa namna walivyo ituliza nchi yetu na kujenga umoja na mshikamano wetu

Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki Sana, azidi kuwajalia Afya njema na nguvu za kututumikia watanzania, Najuwa wapo wachachee wasio penda namna wanavyoendelea kuungwa mkono na watanzania, maana unaweza kuta wapo wanaoombea waone wakihalibu na kuchukiwa na watanzania , Lakini kwa bahati nzuri maombi ya mamillioni ya watanzania yamekuwa makubwa Sana kwa viongozi wetu Hawa na Mungu amekuwa upande Wao muda na wakati wote, Ndio maana unaona utulivu na Amani iliyo Tamalaki katika nchi yetu, Asante

Tanzania bara ni nchi gani Na Tanzania visiwani ni nchi gani ?

Wacheni kuandika ujinga na matango pori kuwapotosha watu .Mnaona aibu gani kusema Tanganyika Na Zanzibar ?
 
Tanzania bara ni nchi gani Na Tanzania visiwani ni nchi gani ?

Wacheni kuandika ujinga na matango pori kuwapotosha watu .Mnaona aibu gani kusema Tanganyika Na Zanzibar ?
Hatuna hizo nchi kwa sasa, kwanini usijivunie kile kilichotokana na fikira zako mwenyewe, Tanzania Ni zao la fikira zetu wenyewe juu ya Taifa Tulilolitaka, Sasa wewe naona unamawazo ya enzi za ukoloni ndio yametawala fikra zako ndo maana unatamani fikra za kikoloni ziendelee kutuongozo Hadi Sasa, hiyo haiwezekani na tulishapita huko
 
Back
Top Bottom