Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Maeneo ni mengi ambayo binafsi naona uwepo wa Mh Makonda umefanya uboreshwe.
Mojawapo ni kituo cha polisi central pamoja na makao makuu ya mkoa (ofisi ya RPC)
Hakika yanaendana na hadhi ya Arusha.
Hongera sana Makonda. Endelea kuangazia maeneo yote na kuhimiza utendaji wa kuzingatia huduma nzuri na haki kwa wananchi wote.
Picha itakuja, ama poti yeyote atusaidie kuweka hapa
Mojawapo ni kituo cha polisi central pamoja na makao makuu ya mkoa (ofisi ya RPC)
Hakika yanaendana na hadhi ya Arusha.
Hongera sana Makonda. Endelea kuangazia maeneo yote na kuhimiza utendaji wa kuzingatia huduma nzuri na haki kwa wananchi wote.
Picha itakuja, ama poti yeyote atusaidie kuweka hapa