Pongezi kwa Serikali ya awamu ya tano kudhibiti siasa za harakati zilizokuwa zinachelewesha maendeleo

Unajua hata mjinga akijua kusoma hutembea kijiji kizima kupiga mayowe kuonyesha kuwa anajua kusoma, hivyohivyo hata masikini akipata daraja la mfugale anapiga mbija kuwa hayo ndio maendeleo
 
Unajua hata mjinga akijua kusoma hutembea kijiji kizima kupiga mayowe kuonyesha kuwa anajua kusoma, hivyohivyo hata masikini akipata daraja la mfugale anapiga mbija kuwa hayo ndio maendeleo
Mbona upo nje ya mada?
 
Hivi nawaza tu kama magu akitoka madarakani .je wale viongozi waliokuwa wanamsifia wataendelea kumsifu. Je atakuwa tayari kukubaliana na msongo wa mawazo kwà kashfa na matusi pamoja na lawama kweli.
 
Changudoa
 
Chato Revolution.
 
Maswali mazuri na hoja mwanana,mtoa mada atufafanunulie vizuri
 
Watu kama hawa JF ingekuwa inawafungia tu.Maana ni wanafiki kupindukia,unasifia hata kitu roho inakataa!!?
 
Mitano tena kudadeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…