LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
mbona vita vya kupambana na ujinga vilianza tangu tupate uhuru, ina maana ujinga bado upo, hizi shule nyingi hazijasaidia kuondoa ujinga?NCHI HII INA WAJINGA WENGI SANA SANA
ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona vita vya kupambana na ujinga vilianza tangu tupate uhuru, ina maana ujinga bado upo, hizi shule nyingi hazijasaidia kuondoa ujinga?NCHI HII INA WAJINGA WENGI SANA SANA
ova
acha kutupia ulokole uozo, walokole hawako hivyo na huo upuuzi hawaufanyi. Walokole wako smart sana na mambo ya rohoni na mwilini huwezi kuwaingiza kwenye imani za kipuuziVituo vya redio vinavyorusha huu upuuzi serikali ivimulike na kuvifunga. Tunajenga taifa la mataahira kwa uchu wa pesa wa matapeli. Wenzetu wanadanya mambo ya maana sisi tunabaki mpaka kuagiza toothpick na yeboyebo wakati malighafi za kutengeneza vitu hivyo tunazo. Kazi yetu kwenda usiku kucha kumpayukia mungu kiziwi sala na maombi ya abracadabra! Hatujifunzi hata kwa binadamu ambaye Mungu meenyewe amesema sisi ni SURA NA MFANO WAKE. Wewe upo chumbani mtoto wako usiku kucha yupo hapo mlangoni anakupigia kelele usiku kucha anaomba nauli ya kwenda shule!! Huko ndiko huu ulokole ulipofikia. I dare to say hawa si wakristo. Ni kichekesho tu hata imessbabisha watu wa imani zingine kuudharau ukristo.
Ujinga bado upombona vita vya kupambana na ujinga vilianza tangu tupate uhuru, ina maana ujinga bado upo, hizi shule nyingi hazijasaidia kuondoa ujinga?
KAHAMIA EFMVituo vya redio vinavyorusha huu upuuzi serikali ivimulike na kuvifunga. Tunajenga taifa la mataahira kwa uchu wa pesa wa matapeli. Wenzetu wanadanya mambo ya maana sisi tunabaki mpaka kuagiza toothpick na yeboyebo wakati malighafi za kutengeneza vitu hivyo tunazo. Kazi yetu kwenda usiku kucha kumpayukia mungu kiziwi sala na maombi ya abracadabra! Hatujifunzi hata kwa binadamu ambaye Mungu meenyewe amesema sisi ni SURA NA MFANO WAKE. Wewe upo chumbani mtoto wako usiku kucha yupo hapo mlangoni anakupigia kelele usiku kucha anaomba nauli ya kwenda shule!! Huko ndiko huu ulokole ulipofikia. I dare to say hawa si wakristo. Ni kichekesho tu hata imessbabisha watu wa imani zingine kuudharau ukristo.
Ila anadanganya watu kwamba yupo studio muda huo na akitoka hapo anaenda kanisani. Ina maana analala saa ngapi?🤔Yupo kepito redio kuanzia saa 4 usiku hadi saa 11 alfajiri huwa anarekodi kipindi then ikifika hiyo mida kinaruka hewani
Upo kwa ajili ya watu wajinga WUchawi unakuzwa na kuaminiwa na WATU Ila uchawi hauna nguvu yoyote .
Si kaandika hapo wanaojiita madokta, alimlenga dokta Sulle au humjui?Tuanzie msikitini itapendeza ,wanaojiita mashekhe ,maimuma..na wale wanaojiita ustadhi majini ,Pete za bahati na madawa ya kisuna watupiwe jicho pevu
Sema MTU unbidi kuwa innocence usije ukatembea na wanaume za watu ukjiona upo safe .utapata shida sanaUpo kwa ajili ya watu wajinga W
Mkuu kwema lakini [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sema MTU unbidi kuwa innocence usije ukatembea na wanaume za watu ukjiona upo safe .utapata shida sana
Akili zako sasa mbona kumsambaratisha😂😁😁
Kwa muujibu wa mleta mada toka JF ipaze sauti amesambaratika hasikiki tena...Akili zako sasa 😂😁😁
Lo nakugawa ujuee unaniua mbavu zangu kwa kicheko huku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭!Kwa muujibu wa mleta mada toka JF ipaze sauti amesambaratika hasikiki tena...