Pongezi kwa waliopaza sauti kupitia JF kuhusu anajiita "Kiboko ya Wachawi"

Pongezi kwa waliopaza sauti kupitia JF kuhusu anajiita "Kiboko ya Wachawi"

😂 😂 😂
Wakuu hizi FM Radio ni janga kubwa sana kwa Wananchi, kuna siku Times FM ilikuwa inarusha kipindi cha Babu kutoka Kigoma anasaidia watu wenye matatizo mbalimbali, behind the scene wale watu wanaopiga simu kumshukuru Mganga wanakuwa wamepangwa na wamepewa hela. Yaani inasikitisha sana na TCRA nako huwa wanaachia kuona na kusikia Wananchi wanapumbazwa na kuibiwa. Nadhani huu mtindo unaofanywa na hizi redio una baraka kutoka huko kwenye hii Mamlaka ya kudhibiti mawasiliano.
 
Pole kwake msaka tonge.







KAZI ni kipimo cha UTU
 
Akamatwe arudishwe kwao DRC na afilisiwe kila kitu alichuma kitapeli hapa nchini. Huyu mtu ni Muislam jina lake halisi ni Hassan Wamba.
 
Natoa pongezi kwa wale waliokuwa wanakwazika na habari zilizokuwa zinarushwa hewani kupitia redio kuanzia saa 6 usiku hadi saa 11 alfajiri.

Pia Soma: DOKEZO - Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"
Mkuu nyumbamungu, mimi ni miongoni mwa tuliopiga kelele humu kuhusu tapeli huyu Serikali iingilie kati Makanisa ya Miujiza? Watanzania masikini wa kutupwa wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli huku wahubiri wakigeuka mamilionea
P
 
Back
Top Bottom