Kwahiyo ndugu unahisi nimepotea. Nikuulize swali: Ushawahi kupenda achana na kutamani kutokana na sifa za nje kupenda ishawahi kukutokea ?
 

Ndugu yangu nashkuru umenipa mambo ya kutafakari upya.

Nakwenda kutafakari.
 

Kwa kweli nashukuru sana kwa kunielewa.
 
Kwani kila ndoa inapofeli chanzo lazima ni mwanamke??
Kwa kiasi kikumbwa Mkuu, ndoa inatawaliwa na mwanamke hata ikifaili utakua utashi wake....in only few isolated cases ni wanaumme kusababisha ndoa kufeili
 
Niwe mkwel silipend hili neno "Single Mother" nahis kama ni kuwapa ulemavu usiostahili.
Unafikiri jina gani sahihi litumike???

Single mother/ single parent lina ubaya upi, kuwa single si ulemavu
 
Write your reply...we jamaa ni fala Sana embu jaribu kutuskiliza sisi wanaume wenzako tunajua tuliyokutana nao tunajua uchungu wako usipotusikiliza sisi utamsikiliza Nani?

angalia kwa akili ya kawaida wengi wanakwambiaje? na siku zote wengi wape hao wanaume wanakushauri usitusikilize hawataki kuumia peke yao wengi wameumizwa wengi hawakutakii mema na wengi wanao kusapoti ni wanawake hii Mada inamuhusu mwenzao unataka wafanyaje?


mkuu lisemwalo lipo Kama halipo lajaa we hivi vitu hujawahi kuvishuhudia in real life ila sisi tumewahi hivi inamaana unataka uniambie pia ujawahi kuona hata nyuzi za mrejesho kuhusu hili swala?


we unadhani wazazi wako watajiskiaje sema tu ukwel wanaskia mwanao kaoa mwanamke mwenye mtoto unadhani watajiskiaje? kweli umeshindwa utafute binti kigori uanze nae familia unaenda oa demu alienda mzalisha mwenzako yaani mke wa mwanaume mwenzio?

embu jifikirie Mara mbilimbili akili yako haiko sawa au amekuroga nini
 
Kwa kiasi kikumbwa Mkuu, ndoa inatawaliwa na mwanamke hata ikifaili utakua utashi wake....in only few isolated cases ni wanaumme kusababisha ndoa kufeili
Ndoa inatawaliwa na mwanamke?? Kwani wanaume si ndiyo huwa mnasema kuwa ninyi ndiyo vichwa vya familia na ndiyo watawala kwenye ndoa au??
 
Kwahiyo mkuu unashauri pia hata mwanamke asiye na mtoto asiolewe na mwanaume mwenye mtoto?? Au unajaribu kusemaje labda??
 
Tatizo wanaume wengi tunakuwa na mawazo negative, na mawazo ya namna hiyo siku zote yanakuwa yanawafanya msifanikiwe.
Ni sawa na bondia anayepanda ulingoni huku kichwani mwake ameshakata tamaa kwamba anaenda kupigwa, hapo ulingoni ni lazima apigwe tena sana kipigo cha aibu.

Lazima tuwe na mtazamo chanya kwenye maisha ya kila siku , siyo wanawake wote ni wabaya au wana tabia mbaya hapana.
Na mara nyingine nyie wenyewe ndiyo mnasababisha hali hizo kwa mawazo hasi juu yao.
 
Yes , hii ni point.
Hakuna kisichowezekana, watu wanapenda kupotosha wenzao humu.
 
Daniel Adrian,
Wewe endelea na maisha yako na mtarajiwa wako, usikatishwe tamaa na ushauri hasi unaotolewa humu jf.

Maisha ya ndoa kitu cha kwanza unamtanguliza YESU KRISTO, pili maisha ya ndoa ni nyinyi kuwa na lugha moja na kupatana katika kila jambo . Kuaminiana na uwazi hapo mtafanikiwa sana kwenye maisha yenu.
Nikwambie jambo mkuu, ndoa ni "paradiso hakika" , mkiweza kuwa na mawasiliano mazuri na ya karibu yenye uwazi.
Kuwa na mtoto wala hakuna tatizo , wewe mpende tena toka moyoni mwako mkubali kuwa ni mwanao, haijalishi baba yake yupo hai au amefariki.
Na mtoto anapokosea wewe ongea na vizuri tu kama baba yake na kumweleza kipi kizuri na kipi kibaya muda ule ule anapokuwa amekosea , kupiga kuchapa siyo siyo dawa ya kumrekebisha mtoto.
Penda kuwa na muda mwingi na familia na siyo marafiki.
Familia ndiyo kila kitu.

Angalizo: ndoa nyingi zinaharibika mmoja wapo anapoanza kuchepuka. Ambako kuna sababishwa na kununiana, kutokuwa na mawasiliano mazuri toka asubuhi mpaka jioni, kutokuheshimiana, mazoea ndiyo hasa yanaharibu sana ndoa.
Jitahidi kumfanya mkeo mpya kila siku.
Hata kama hamjui mapenzi muwe wazi mfundishane. Msioneane aibu.
Mzee wa Msoga alisema akili za kuambiwa changanya na zako mambo yanaenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…