Ni kweli mkuu. Ila sina wasi wasi nae kabisa, anajitambua sana. Huwa ananambia wanaume wengi wanatuogopa kwa sababu wanahisi tutawacheat na ma x wetu jambo ambalo linategemea na akili na utashi wa mtu.
Unakosea kusema anajitambua sana. Kukaa nae wiki hakutoshi kusema anajitambua sana. Jiulize huyo mzazi mwenzake amekaa nae muda gani vipi hajaliona hilo. Anawezaje kumuacha mwanamke aliyeweza kuingia leba kwa ajili yake ili apanue ukoo wake kama kweli ni.mtu anayejitambua n kueleweka sana. Mkuu weka akiba ya maneno.
N pia mjini njaa kali mzee baba mtu akijichangnya kutaka kukulipia pango chakula matibabu n dharura zingine kwanini utajirahisishe tu. Mjini akili humu
 
Uzi wako malengo yake nayafahamu.Nakushauri tu uache kuleta siasa za Alinacha
 
Mtazamo!
Jamii za kiafrika, zina mitazamo hasi kuhusu Single mother........
 
kelele zote hizi kumbe hata ndoa bado. Oa kwanza ndio uje kutoa somo kidogo unaweza kueleweka.
 
Kupenda ndugu yangu, nampenda sana hapo sijui nifanyeje.
 
Asante sana ndugu.
 
Anasema waliachana kwa sababu X wake alitaka watoe mimba.
 
Anasema waliachana kwa sababu X wake alitaka watoe mimba.
 
Acha pombe kijana. Hayo yote ya kuona shape km wema inawezekana ni pombe tu.
 
Kwahiyo ndugu unahisi nimepotea. Nikuulize swali: Ushawahi kupenda achana na kutamani kutokana na sifa za nje kupenda ishawahi kukutokea ?
Hicho ulichoandika sio mapenzi ya kweli, ni tamaa ndio inakusumbua.
 
Nadhani mtoa mada anahitaji kutofautisha upendo na tamaa za mwili. Hizi ni sexual excitement tu. Si dhani kama ndani ya muda mfupi namna hii unaweza ukawa umemfaham MTU vya kutosha na kuamua kufanya maamuzi makubwa namna hii. Isitoshe hawa viumbe hasa wanapohitaji kuolewa huwa wanauwezo mkubwa sana wa kuigiza (pretend). Nakushauri utumie muda zaidi kumchunguza, umfaham vizuri!
 
Gawa kadi za michango sasa kiongozi ili hili swala liwe faster
 
Week moja mmeshaanza mipango ya ndoa mkuu

Ila asante kwa kutusifia [emoji847] na wahenga walisema usitukane mamba kabla haujavuka mto ndio kilichokukuta
 
Mkuu ina maana hujawahi kuona au kusikia ndoa za walokole zimevunjika tena wengine ni wahubiri wakubwa tu? Ndoa ni hatua muhimu sana kwenye maisha ya mtu sio jambo la kufanya majaribio haswa kwenye scenario kama hii ambayo kuna vulnerable and innocent kid atakuwa involved kwenye complex affair , maandiko yanasema AONYWAYE MARA NYINGI NA KUSHUPAZA SHINGO. ...........
 
Shauri yako. Mwanakulitaka mwanakulipata. Na utapolipata usije kulialia hapa, pambana na hali yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…