vipi bado upo nae??
 
Wanaume wenzako watakuponda mkuu kuhusu ulivyozama kwa single mother jilie mema ya nchi mkuu maisha yenyewe mafupi haya

Ukipendwaa pendeka
Na Mimi nataka mema ya nchi.

😎😎😎😎😎😎
 
[emoji1787] Njo kwa single mother mimi ujilie mema ya nchi [emoji847]
Hebu nielekeze, nafikaje kwa singo maza wewe? Mji mkubwa huu, sikawii kupotea!

😎😎😎😎😎😎
 
Kitendo cha kumuita mpenzi wake single mother ameshakosea
Umeona mkuu..watoto bana mambo yao mengi sana..
Halaf kamchora chora hovyo kwel yan..Mara "papu.. nn sijui inafanyaje. aah.."
Yan umemuabisha kwakwel licha ya kuwa hatumjui.
 
Ngoja yakukute Kaka hawa viumbe sio wakuwaamini hivyo...ila ki ukweli single mamaz n watam af kutoa mzgo hawazungushi Kama hivi vidadaz
 
Habari wanajamii wenzangu!

Kuna wimbi kubwa sana katika jamii hasa hapa Jf kuwaona single mother kama watu waliopoteza dira, wasiotakiwa kuolewa tena. Kumetokea mada mbalimbali ndani ya hili jukwaa kuhusiana na hawa wanawake wa aina hii!

Hakuna sababu ya kuwadharau hawa watu wa jinsi hii. Waliwapata hao watoto kwa kukutana na wanaume wasiokua waaminifu. Kabla hujamtupia kombora jua kuna Mwanaume nyuma ya huo usingle mother tena niseme mwanaume dhalimu.

Na mbaya zaidi kuna hadi wanawake wanaowaponda single mother. Unamponda single mother aliyekubali kulea mimba wakati wewe umechoropoa mimba kibao? Au pengine hata hiyo mimba huna uwezo wa kuibeba?

Tuwe na usawa hapa, na kwa wewe unayeomba ushauri wa kuoa single mother ndani ya hili jukwaa, jitathmini sana, kama hutafanya hivyo kwasababu ni single mother make sure unayekuja kumuoa ni bikra. Kama sio na wewe jua tu umeoa single mother indirect way.

Wanawake wengi wanapitia madhila/mazingira mbalimbali, ikiwemo kudhulumiwa, kudanganywa n.k

Dhana ya kwamba ukioa single mother ni lazima achepuke na mzazi mwenzake haina mashiko, inakuwaje sasa ukioa asiye single mother lakini ana ma ex kibao? Mara ngapi zinakuja hoja hapa za wanaume kutembea na ma ex wao ambao wako ndani ya ndoa?

Let Love lead, hayo mengine yasiadhiri mahusiano ya watu.

Stop hatred to single mothers, wanahitaji kupendwa, wanahitaji kuheshimiwa. Nawasihi sana wasiwe waoga wala kuwaficha watoto wao kwa vigezo vya kutendwa, kuachwa au kubaguliwa.
 
Single mom tuna Upendo hatuwezi kuua ndio maana tulivyobeba mimba hatukupenda kutoa na tukalea.

Na wengi wao wanaoponda single mom unakuta hajalelewa na Baba yake mzazi palipo single mom jua kuna single father.

Nimeshuhudia wadada wengi wakitoa ujauzito bila huruma so kwa niaba ya single mom wala msione Haya wala kujisikia vibaya walochomoa ni mama wa marehemu sisi wa kwetu wapo hai.

Single mom kuolewa wanaolewa sana Na tunapendwa sana tu

Wanaotusema vibaya ni wapumbavu hawajiewi
 
Exactly. Binafsi Nilishaomba msamaha kwa Mungu kwa mimba nilizosababisha na kuzichoropoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…