Kaka wanaume wa humu ni wanafki sana au bas ngoja Leo niiishie hapoHi great thinkers
Nawapa pole single Mothers wote wanaosimangwa. Si wote wamependa iwe hivyo. Wengine walisubiri wachumba mpaka dakika ya 90 bilabila.
Nawashauri single mothers kuweni wema leeni watoto wenu vizuri na mpunguze stress.
Wanaume ni wachache.
😀 Kwan bodaboda sio watu? Mbn unadharau kaz za watu ww kuna wana wanalisha familia zao kupitia iyo kaz ya boda bodaWataalam uchwara ndio wanasababisha single mothers, utasikia "MWANAMKE AKIFIKISHA MIAKA 30 HAWEZI TENA KUZAA AU KUSHIKA MIMBA". Dada zetu wakisikia hivyo wanapaniki wanaanza kuzaa na yoyote atakayetokea mbele zao hata BODABODA!
Hakuna mimba ya bahati mbaya labda mtu awe amebakwa bila ridhaa yake.... vinginevyo, kila mtu akomae na shida zake.Habari za Jumapili wakuu! Hongereni kwa Ibada kwa wale mlioenda ibadani[emoji112][emoji112]
Lengo la mada hii,ni kukushauri na kukutia Moyo wewe Single mother uliejikatia tamaa.
Mimi ni miongoni mwa single mother. Nilipata ujauzito nikiwa Form 4 nina miaka 17 tu! Nililelewa katika Familia ya kilokole na hata haya mambo ya kujiingiza kwenye Mahusiano ya kimapenzi sikuyataka kabisa but makundi& mzazi ndo vilisababisha hivi(nikipata muda nitaleta mada kuhusu hiki) Basi,Baada ya Kujigundua ni mjamzito niliomba Rehema sana nikatubu Kwa Mungu ninakaendelea na masomo. Namshukuru Mungu mimba haikuonekana hadi Siku najifungua zilibaki siku 3 nianze Necta. Nakumbuka nilijifungua Ijumaa then j3 nikaingia Chumba Cha mtihani nikafanya paper nikatoka na 4 mbaya but Cheti nilipata.
Baada ya Hapo nilinuniwa na Mzee karibu Mwaka,nikaishi Maisha ya tabu sana Kiasi kwamba nilitamani kunywa Sumu nife ila nikawaza,kwani mm ndo nimekuwa wa Kwanza?? Nikaamua kutokujichukia na kutokulia tena Nikaamua kuanza kufanya biashara na nikawa najiamini sana kama hakijatokea chochote,then Mzee akashauriwa akanipeleka Chuo but ile Caring haikuwepo! Namshukuru Mungu nilifanikiwa kumaliza,nikatafuta Kazi na nikaamua kujisimamia mwenyewe,nikajithamini na Nikapata Kibali sanaa!!.
NINACHOTAKA NIKWAMBIE NI HIKI:- Wewe bado ni wa thamani hata kama una mtoto! Usijirahisirahisishe kwa Wanaume,eti Kisa ulishazaa!! Uthamani wako uko palepale
[emoji2771]Usikate tamaa kwa Maneno yao au Kejeli zao,Focus kuitengeneza ile future uliyoipoteza hapo Awali.
[emoji2771]Mrudie Mungu na uweke tumaini Kwake kikamilifu. Nina Uhakika atakupa Nafasi tena kama hautakuwa na Mchanganyo!! Kuwa na Msimamo Mungu atakupatia wa kwako!! .
Mwisho,Achana na Uzinzi! Subiri Mume mwema Kutoka kwa Mungu( but kama utakuwa serious na Mungu)
❤️Behind every single mother, there is a man like baba ommy dimpoz
Raia msiniue, natania tu 😁
Habari za Jumapili wakuu! Hongereni kwa Ibada kwa wale mlioenda ibadani[emoji112][emoji112]
Lengo la mada hii,ni kukushauri na kukutia Moyo wewe Single mother uliejikatia tamaa.
Mimi ni miongoni mwa single mother. Nilipata ujauzito nikiwa Form 4 nina miaka 17 tu! Nililelewa katika Familia ya kilokole na hata haya mambo ya kujiingiza kwenye Mahusiano ya kimapenzi sikuyataka kabisa but makundi& mzazi ndo vilisababisha hivi(nikipata muda nitaleta mada kuhusu hiki) Basi,Baada ya Kujigundua ni mjamzito niliomba Rehema sana nikatubu Kwa Mungu ninakaendelea na masomo. Namshukuru Mungu mimba haikuonekana hadi Siku najifungua zilibaki siku 3 nianze Necta. Nakumbuka nilijifungua Ijumaa then j3 nikaingia Chumba Cha mtihani nikafanya paper nikatoka na 4 mbaya but Cheti nilipata.
Baada ya Hapo nilinuniwa na Mzee karibu Mwaka,nikaishi Maisha ya tabu sana Kiasi kwamba nilitamani kunywa Sumu nife ila nikawaza,kwani mm ndo nimekuwa wa Kwanza?? Nikaamua kutokujichukia na kutokulia tena Nikaamua kuanza kufanya biashara na nikawa najiamini sana kama hakijatokea chochote,then Mzee akashauriwa akanipeleka Chuo but ile Caring haikuwepo! Namshukuru Mungu nilifanikiwa kumaliza,nikatafuta Kazi na nikaamua kujisimamia mwenyewe,nikajithamini na Nikapata Kibali sanaa!!.
NINACHOTAKA NIKWAMBIE NI HIKI:- Wewe bado ni wa thamani hata kama una mtoto! Usijirahisirahisishe kwa Wanaume,eti Kisa ulishazaa!! Uthamani wako uko palepale
[emoji2771]Usikate tamaa kwa Maneno yao au Kejeli zao,Focus kuitengeneza ile future uliyoipoteza hapo Awali.
[emoji2771]Mrudie Mungu na uweke tumaini Kwake kikamilifu. Nina Uhakika atakupa Nafasi tena kama hautakuwa na Mchanganyo!! Kuwa na Msimamo Mungu atakupatia wa kwako!! .
Mwisho,Achana na Uzinzi! Subiri Mume mwema Kutoka kwa Mungu( but kama utakuwa serious na Mungu)
Ah jamani mbona sie bodaboda mnatusingizia vitu ambavyo sio kweli?Wataalam uchwara ndio wanasababisha single mothers, utasikia "MWANAMKE AKIFIKISHA MIAKA 30 HAWEZI TENA KUZAA AU KUSHIKA MIMBA". Dada zetu wakisikia hivyo wanapaniki wanaanza kuzaa na yoyote atakayetokea mbele zao hata BODABODA!
VIP mkuu na wew ushaolewa Tena kwa harus ?? Au unaandika kufurahisha jukwaa tu ??Nina evidence na watu kibao waliooa single mother na ni vijana ambao wao hawana watoto!!!
Inategemea hao ndugu zako wanajiwekaje,lakini Pia Mtazamo wako sio wa mtu Mwingine!! Kuna mambo mengine akili Yako na maamuzi Yako yatashindwa but si kwa Wengine!!
Siwashauri kuzaa,but watu wanaolewa wakiwa hata na watoto kibao
Kwan wanazini wenyewe au mnazini nao"Achana na Uzinzi! Subiri Mume mwema Kutoka kwa Mungu( but kama utakuwa serious na Mungu)".
Hii quotes imeshiba tatizo kuiishi hii quotes.
na kujenga juu😀 Kwan bodaboda sio watu? Mbn unadharau kaz za watu ww kuna wana wanalisha familia zao kupitia iyo kaz ya boda boda
Muulize aliye andika mimi nime quotes.Kwan wanazini wenyewe au mnazini nao
Kkkk mkuu nazungumzia wale bodaboda wadogo wadogo wasuka virasta, mlegezeo na chini visendo na soksi. Wale watu wazima serious wale hawana shida😀 Kwan bodaboda sio watu? Mbn unadharau kaz za watu ww kuna wana wanalisha familia zao kupitia iyo kaz ya boda boda
Kkkkk wewe kidogo mstaarabuAh jamani mbona sie bodaboda mnatusingizia vitu ambavyo sio kweli?
Nimekupenda,umelenga mule mule,,Yani tunasimangwa utafikiri tumejizalisha wenyeweHao single mothers ni kwa sababu wanaume tumekuwa wapumbavu na haujielewi kuwazalisha ni uhuni wa kishamba then tunapotea
Jamani kwani bodaboda sio watu[emoji23]Wataalam uchwara ndio wanasababisha single mothers, utasikia "MWANAMKE AKIFIKISHA MIAKA 30 HAWEZI TENA KUZAA AU KUSHIKA MIMBA". Dada zetu wakisikia hivyo wanapaniki wanaanza kuzaa na yoyote atakayetokea mbele zao hata BODABODA!