Pongezi kwenu Single Mothers
Hi great thinkers

Nawapa pole single Mothers wote wanaosimangwa. Si wote wamependa iwe hivyo. Wengine walisubiri wachumba mpaka dakika ya 90 bilabila.

Nawashauri single mothers kuweni wema leeni watoto wenu vizuri na mpunguze stress.

Wanaume ni wachache.
Kaka wanaume wa humu ni wanafki sana au bas ngoja Leo niiishie hapo
 
Kila siku single mother single mother single mother hao baba za hao watoto wamekufa au wako hai? Kama wako hai mbona mmewakalia kooni hivyo akina mama pekee!!!
 
Wataalam uchwara ndio wanasababisha single mothers, utasikia "MWANAMKE AKIFIKISHA MIAKA 30 HAWEZI TENA KUZAA AU KUSHIKA MIMBA". Dada zetu wakisikia hivyo wanapaniki wanaanza kuzaa na yoyote atakayetokea mbele zao hata BODABODA!
😀 Kwan bodaboda sio watu? Mbn unadharau kaz za watu ww kuna wana wanalisha familia zao kupitia iyo kaz ya boda boda
 
Habari za Jumapili wakuu! Hongereni kwa Ibada kwa wale mlioenda ibadani[emoji112][emoji112]

Lengo la mada hii,ni kukushauri na kukutia Moyo wewe Single mother uliejikatia tamaa.
Mimi ni miongoni mwa single mother. Nilipata ujauzito nikiwa Form 4 nina miaka 17 tu! Nililelewa katika Familia ya kilokole na hata haya mambo ya kujiingiza kwenye Mahusiano ya kimapenzi sikuyataka kabisa but makundi& mzazi ndo vilisababisha hivi(nikipata muda nitaleta mada kuhusu hiki) Basi,Baada ya Kujigundua ni mjamzito niliomba Rehema sana nikatubu Kwa Mungu ninakaendelea na masomo. Namshukuru Mungu mimba haikuonekana hadi Siku najifungua zilibaki siku 3 nianze Necta. Nakumbuka nilijifungua Ijumaa then j3 nikaingia Chumba Cha mtihani nikafanya paper nikatoka na 4 mbaya but Cheti nilipata.
Baada ya Hapo nilinuniwa na Mzee karibu Mwaka,nikaishi Maisha ya tabu sana Kiasi kwamba nilitamani kunywa Sumu nife ila nikawaza,kwani mm ndo nimekuwa wa Kwanza?? Nikaamua kutokujichukia na kutokulia tena Nikaamua kuanza kufanya biashara na nikawa najiamini sana kama hakijatokea chochote,then Mzee akashauriwa akanipeleka Chuo but ile Caring haikuwepo! Namshukuru Mungu nilifanikiwa kumaliza,nikatafuta Kazi na nikaamua kujisimamia mwenyewe,nikajithamini na Nikapata Kibali sanaa!!.
NINACHOTAKA NIKWAMBIE NI HIKI:- Wewe bado ni wa thamani hata kama una mtoto! Usijirahisirahisishe kwa Wanaume,eti Kisa ulishazaa!! Uthamani wako uko palepale
[emoji2771]Usikate tamaa kwa Maneno yao au Kejeli zao,Focus kuitengeneza ile future uliyoipoteza hapo Awali.
[emoji2771]Mrudie Mungu na uweke tumaini Kwake kikamilifu. Nina Uhakika atakupa Nafasi tena kama hautakuwa na Mchanganyo!! Kuwa na Msimamo Mungu atakupatia wa kwako!! .
Mwisho,Achana na Uzinzi! Subiri Mume mwema Kutoka kwa Mungu( but kama utakuwa serious na Mungu)
Hakuna mimba ya bahati mbaya labda mtu awe amebakwa bila ridhaa yake.... vinginevyo, kila mtu akomae na shida zake.

Mungu akisha kupa Akili ukifanya uzembe ni juu yako... single mother labda aonewe huruma tu na single father au mwanaume kichwa mbovu asiye jielewa ndio amuoe....
 
Habari za Jumapili wakuu! Hongereni kwa Ibada kwa wale mlioenda ibadani[emoji112][emoji112]

Lengo la mada hii,ni kukushauri na kukutia Moyo wewe Single mother uliejikatia tamaa.
Mimi ni miongoni mwa single mother. Nilipata ujauzito nikiwa Form 4 nina miaka 17 tu! Nililelewa katika Familia ya kilokole na hata haya mambo ya kujiingiza kwenye Mahusiano ya kimapenzi sikuyataka kabisa but makundi& mzazi ndo vilisababisha hivi(nikipata muda nitaleta mada kuhusu hiki) Basi,Baada ya Kujigundua ni mjamzito niliomba Rehema sana nikatubu Kwa Mungu ninakaendelea na masomo. Namshukuru Mungu mimba haikuonekana hadi Siku najifungua zilibaki siku 3 nianze Necta. Nakumbuka nilijifungua Ijumaa then j3 nikaingia Chumba Cha mtihani nikafanya paper nikatoka na 4 mbaya but Cheti nilipata.
Baada ya Hapo nilinuniwa na Mzee karibu Mwaka,nikaishi Maisha ya tabu sana Kiasi kwamba nilitamani kunywa Sumu nife ila nikawaza,kwani mm ndo nimekuwa wa Kwanza?? Nikaamua kutokujichukia na kutokulia tena Nikaamua kuanza kufanya biashara na nikawa najiamini sana kama hakijatokea chochote,then Mzee akashauriwa akanipeleka Chuo but ile Caring haikuwepo! Namshukuru Mungu nilifanikiwa kumaliza,nikatafuta Kazi na nikaamua kujisimamia mwenyewe,nikajithamini na Nikapata Kibali sanaa!!.
NINACHOTAKA NIKWAMBIE NI HIKI:- Wewe bado ni wa thamani hata kama una mtoto! Usijirahisirahisishe kwa Wanaume,eti Kisa ulishazaa!! Uthamani wako uko palepale
[emoji2771]Usikate tamaa kwa Maneno yao au Kejeli zao,Focus kuitengeneza ile future uliyoipoteza hapo Awali.
[emoji2771]Mrudie Mungu na uweke tumaini Kwake kikamilifu. Nina Uhakika atakupa Nafasi tena kama hautakuwa na Mchanganyo!! Kuwa na Msimamo Mungu atakupatia wa kwako!! .
Mwisho,Achana na Uzinzi! Subiri Mume mwema Kutoka kwa Mungu( but kama utakuwa serious na Mungu)

Umenena vyema
Uko vizuri
Lakini Naomba nikutekebishe kidogo kwenye hi line ya kwanza
Usikate tamaa na ....YAO....YAO

Au kwa maana nyingine YETU yaani sisi wanaume
Ila msingi wa haya ni ninyi wenyewe
Mimi nmekuowa wewe
Wew unajijua n mke wangu mimi
Kwanini ufanye mapenzi tena na mzazi mwenzio?
Kwasababu jamii inaona
Ikiona matokeo yake ndio hayo ambayo mnaita kejeli




Pia sijaona neno lako kwao wanaume walioowa hawa dada zetu
Pia sijaona nno lako kwa dada zetu hawa tuliowaowa wakiwa walishazaa
 
Swala likishatokea basi unaenda nalo ivyo ivyo hamna namna kama umepangiwa utapata jamaa wa kukuoa utapata tu
 
Nina evidence na watu kibao waliooa single mother na ni vijana ambao wao hawana watoto!!!
Inategemea hao ndugu zako wanajiwekaje,lakini Pia Mtazamo wako sio wa mtu Mwingine!! Kuna mambo mengine akili Yako na maamuzi Yako yatashindwa but si kwa Wengine!!
Siwashauri kuzaa,but watu wanaolewa wakiwa hata na watoto kibao
VIP mkuu na wew ushaolewa Tena kwa harus ?? Au unaandika kufurahisha jukwaa tu ??
 
Nikiona au kusikia maneno Single mother huwa natafsiri kama ni mama aleaye mwenyewe mtoto aliyepanga kumzaa na mwanaume waliyeshindwa kumlea pamoja. Sababu zikiwa zikiwa kifo au kukosekana kwa maelewano na kushindwa kuishi pamoja.

Hawanaga shida, waelewa na wamekomaa kiakili na kifikra. Hata kwenye mahusiano mapya huwaga bora sana.


Kuna wale masingo maza wa mchongo ambao ndo wanapigwa vita. Nadhani huu ushauri wako ungewafaa sana. Na sina uhakika kama wanapatika huku.
 
Single mother wakionewa huruma waolewe hawachelewi kupasha kiporo na baba watoto wao.

Unakuta single mother anapewa hela nyingi za matumizi ya mtoto, sasa akiombwa mchezo atatoa kwa moyo wote huku akisaliti upande wa pili, hilo ndilo tatizo lao
 
😀 Kwan bodaboda sio watu? Mbn unadharau kaz za watu ww kuna wana wanalisha familia zao kupitia iyo kaz ya boda boda
Kkkk mkuu nazungumzia wale bodaboda wadogo wadogo wasuka virasta, mlegezeo na chini visendo na soksi. Wale watu wazima serious wale hawana shida
 
Back
Top Bottom