Hao single mothers ni kwa sababu wanaume tumekuwa wapumbavu na haujielewi kuwazalisha ni uhuni wa kishamba then tunapotea
1. Haya ni matokeo ya kuharibika kwa family structure. Hakuna malezi, ujuaji mwingi, yakiwakuta ndipo kutukana wanaume.

2. Mavuno ya feminism. Ndio matokeo ya kukiuka miiko ya familia na kuleta uhuru wa wanawake, uhuru usio na mipaka. Na bado
 
Najaribu kuwaza nini hupelekea hivo je ni majamaa kukinai, tamaa kwa wote, kutokuheshimiana, amani, ... Yani ni ni I haswa hupelekea
 
Ulikulia katika familia ya Kilokole. Unajua wengi wanatazama walokole kama ni watu wa karibu na Mungu, lakini ukweli ni kwamba wengi ni wanadamu tu kama wengine. Kuwa mwana wa Mungu ni kuikimbia duniani na fahari zake, kulishika neno lake tu.

1. Ulipata mimba kwa sababu hukumjua Mungu bali ulitumainia ulokole wako.

2. Nakushauri UACHE KABISA kuwanyooshea kidole wazazi wako, kwa sababu walijitahidi kukukanya wala hukuwasikia. Ndio maana baba yako alivunjika moyo juu yako.

3. Kama unadhani kuna eneo wazazi wako hawakutenda vema, basi uwasamehe, ufanye toba kwa ajili yako na kwa ajili yao pia. Uwe na moyo wa kushukuru japo kwa ajili ya jambo moja tu, kwamba walikuzaa, basi uwashukuru kwa ajili hiyo tu.

4. Kuwa single mother SIO sifa njema hata kidogo, bali kutubu dhambi na kumrejea Muumba ni jambo jema kuliko yote hapa duniani. Kumbuka hata Yesu Kristo amesema wazi kuwa mbinguni hakuna wala Krismasi, wala Pasaka, wala mwaka mpya, bali sherehe pekee huko ni pale mwenye dhambi mmoja anapotubu, basi mbinguni huangushwa pati la nguvu kwa ajili yake.

5. Ukiisha kumjua Mungu unafanyika kuwa kiumbe kipya, si kwa kurejeshewa bikira, bali kwa kupewa fikra mpya. Hutamani tena chipsi kuku, pati, mambo ya beach nk, bali kuishi kwako sasa ni Kristo tu. Ukiwa hivyo unatembea katika uwepo wa Mungu na huko utakutana na wana wa Mungu wenye fikra sawa na zako, wote mkinia mamoja. Katika hilo utakuwa na bikra ya roho, ukiwa na roho mpya, ukiua kabisa mwili wa nje usitumikie tamaa za mwanzo.

6. Baada ya hayo epuka kamwe kurejea kwenye uharibifu wa kwanza, kutumikia kwa siri tamaa za mwili kwani utajiangamiza mwenyewe. Mungu ni mwaminifu kwa neno lake:


2 Petro 2
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁸ Maana wakinena maneno makuu mno ya kiburi, kwa tamaa za mwili na kwa ufisadi huwahadaa watu walioanza kuwakimbia wale wanaoenenda katika udanganyifu;
¹⁹ wakiwaahidia uhuru, nao wenyewe ni watumwa wa uharibifu
, maana mtu akishindwa na mtu huwa mtumwa wa mtu yule.
²⁰ Kwa maana wale waliokwisha kuyakimbia machafu ya dunia kwa kumjua Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, kama wakinaswa tena na kushindwa, hali yao ya mwisho imekuwa mbaya kuliko ile ya kwanza.
²¹ Maana ingekuwa heri kwao kama wasingaliijua njia ya haki, kuliko kuijua, kisha kuiacha ile amri takatifu waliyopewa.
²² Lakini imetukia kwao sawasawa na ile mithali ya kweli, Mbwa ameyarudia matapiko yake mwenyewe, na nguruwe aliyeoshwa amerudi kugaa-gaa matopeni.


Kumbuka rehema za Mungu ni nyingi, hivyo tumrudie kwa kurarua mioyo yetu.

Hao wanaoenenda katika udanganyifu ni wale waabuduo upuuzi wa MWANAMKE JASIRI, SUPER WOMAN nk, wakiwadanganya wanawake kwamba watawaweka huru. Kama kweli umemjua Mungu utawakimbia wadanganyifu hawa ambao wamefikisha dunia hapa ilipo kwa kukaidi mpangilio wa kiungu (divine order). Kuwa mwanamke kamili ukijinyenyekesha kwa Mungu na wazazi wako, naye Mungu aonaye sirini atakujalia haja ya moyo wako. Lakini ukitumainia ujasiri wako, kwamba wanawake mnaweza strong woman, basi Mungu hukaa kando akikuacha upigane vita vyako mwenyewe.

Ni neno jema kwamba sasa umeijua kweli, nawe utawekwa huru kabisa mbali ni uharibifu wa dunia hii.

Amina
 
Kuoa mwanamke aliyezaa hapana kwa kweli... Hilo mimi nakataa kata kata.... Kuna dada nilipendana naye sana lakini shida alikuwa amezaa mtoto alimpata mwaka 2000. So ni mtoto mkubwa tu.

Na mdada mzuri sana. Ameishia kuwa feminist tu. Watu wanapiga wanasonga mbele. Wanaume wachache wanaweza oa mwanamke aliyezaa.
 
ah sema kwa wanaowasimanga mi naona sio kitu kizuri coz kila mtu ana sababu yake ya kuwa single mother sasa wanawachukulia kama vile wamevunja sheria ya nchi, mi nnaposhindwa kuelewa mbn sisi tukiwa single father(s) huwa hakunaga maneno ila ikiwa upande wao inachukuliwaga yan kiviiiiiiiiiiiiiile.
 
Single father ndio nini tena? Naona msamiati mpya.
 
Single mother kipaumbele chao kiwe single father wenzao ili wale wasio na watoto waoane wenyewe tatizo single mother wako mstari wa mbele kutaka kuolewa na wasio single father
 
Amen🙏🙏
 
Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…