Kwa mtazamo wangu, single mother ni tofauti mno kwa sababu mama anabebeshwa mimba, sasa tangu kipindi hiki anahitaji matunzo kutoka kwa mwenza. Akimkataa atabaki peke yake, analeta mimba, anazaa, ananyonyesha mpaka mtoto akue.ebu niweke sawa mkuu ili siku nyingine nisikosee
Wataalam uchwara ndio wanasababisha single mothers, utasikia "MWANAMKE AKIFIKISHA MIAKA 30 HAWEZI TENA KUZAA AU KUSHIKA MIMBA". Dada zetu wakisikia hivyo wanapaniki wanaanza kuzaa na yoyote atakayetokea mbele zao hata BODABODA!
na mm ndo nilikuwa namaanisha hv mkuu,umemaliza kila kituKwa mtazamo wangu, single mother ni tofauti mno kwa sababu mama anabebeshwa mimba, sasa tangu kipindi hiki anahitaji matunzo kutoka kwa mwenza. Akimkataa atabaki peke yake, analeta mimba, anazaa, ananyonyesha mpaka mtoto akue.
Lakini huyo unayemwita single father, atamchukia mtoto akiwa ameshakua, wala hamnyonyeshi, wala haibadilishi diapers, wala hasumbukii maisha yake na ya mtoto. Yeye wala hakai nyumbani kwa sababu ya kubanwa na mtoto. Nadhani utofauti uko hapo mkuu
Yeaah ila shida vizinga vingi Bure umtemeHalaf hao single mazas ni Ving'ang'anizi hao hasa wakigundua Jamaa huna Mtoto
[emoji28]
Dah acha tuu ndugu tunasimangwa na kudharauliwa kama vile sie hatuna haki ya kuzalishaJamani kwani bodaboda sio watu[emoji23]
Huu ni ukweli kabisa. Hawatafuti masingle father wakijua kabisa single father ataenda kupasha kiporo🤣🤣🤣🤣🤣Single mother kipaumbele chao kiwe single father wenzao ili wale wasio na watoto waoane wenyewe tatizo single mother wako mstari wa mbele kutaka kuolewa na wasio single father
Na usikute alishapanua miguu zaidi ya mara moja ndo ikaja kunasa. Alikuwa mzoefuUnaposema kama hukutaka,unataka kusema ulibakwa??.
Kama ulifanya kwa akili yako na ukapanua miguu hadi mimba ikaingia maana yake ilikuwa unajua unachokifanya.Ukizingatia ulikuwa na miaka 16-17 ulikuwa mkubwa wa kutosha acha visingizio.
Kama ulibakwa pole.
Wape mbususu uone itakavyo suguriwaWanaume wenyewe siku hizi hata hizo mbegu zakiume wanazo basi, wamebaki kuuziwa dawa za kuongeza nguvu za kiume tu.
Una Uhakika na unachokisema??
Je kama ana kipato Chake na Yuko vizuri kiuchumi anamlea mwanae,hapo unasemaje??
Hii inategemea,na sio wote waliozalishwa na kuachwa ni Malaya,no Kuna baadhi ya wanaume ni wavivu na hwataki majukumu,hivyo mama anaona ni Bora waachane tu alee mtoto wake mwenyewe,Kuna wanawake wengine ni waaminifu Sana katika mahusiano yao lkn ulimbukeni na tamaa za kijinga za mwanaume anamletea wanawake wengine kila kukcha,so mwanamke anaona Bora kuwa single kuliko kuletewa magonjwa ndani,so kuwa single sio dhambi,acheni masimango kwani hao wapiowazalisha ni wanaume wenzenu
Ni kweli ndiyo maana nimesema %90 wengi wao wanaingia kwenye mapenzi kwaajir ya kupata huduma ya mtoto kwasababu hawana uchumi mzuri na baba mtoto hatoi huduma, sasa ukitongoza mwanamke kama chakwanza atakwambia mpende mtoto kuliko yeye kwasababu yeye akili yake ipo kwa mwanae hajui hatima ya baadae ya mwanae itakuwaje.Uongo,Tena uongooo,Kuna watu Wana kazi zao wanajiweza,wanachohitaji ni upendo tu na company,kiufupi wanasumbuliwa na upweke tu,,sio kweli kuwa single mother wote hawajiwezi no
Wanajua huna majukumu kwaiyo watapata pesa za bure za kulea mwanae na hawakubali kuzaa tena mpaka mtoto afike miaka 15Halaf hao single mazas ni Ving'ang'anizi hao hasa wakigundua Jamaa huna Mtoto
Pole mkuu. Ila kama ana kiumbe chako basi huna budi Zaidi ya kuwa responsible.Single mothers hawa wadudu staki kuwasikiii wanaomba sana hela balaaa ndio nimewaita wadudu .