Wanaume wenyewe siku hizi hata hizo mbegu zakiume wanazo basi, wamebaki kuuziwa dawa za kuongeza nguvu za kiume tu.
Matatizo ya baba yako ndo unahisi ni ya wote
 
mtoa uzi nione dm nkupe hela ya soda
 
Leo nimekutana na single father na wanae, kumbe wanaume wanaweza aisee!
 
Wewe kijana acha kujitwika matatizo. Unaoa single mama? Hapa ni sawa na kufanya maamuzi magumu ya kununua kiwanja chenye mgogoro. Uko tayari kuchukua risk hiyo?

Single mama huwa haachani na mzazi mwenzie. Kumbuka ana damu (mtoto) wa mwanaume mwenzio. Hivyo lazima watawasiliana tu kujadili maisha ya mtoto, ama anaumwa, masuala ya shule, matumizi na mavazi ya mtoto.

Kupitia haya single mama "atachapwa" tena na mzazi mwenzie.

Usiipuuze sauti hii ya kungwi mzoefu Sexless
 
Hawaezi elewa,ngoja siku nikipata time nishushe uzi wenye nondo zote kwanini usioe Single mother.
 
Hawa ni wakugegeda na kusepa tuu maana wanajituma hao kitandani balaa....full raha kupewa uno na single maza
 
Je utachagua single mother au aliyetoa mimba?
wapo wanaotoa mimba wakiamini haujafika muda sahihi wa kupata watoto, na wapo wanaovumilia na kujifungua na baadaye kuitwa single mothers.

Utaoa yupi? Kwa ladies utachagua kundi lipi, Single mother au utatoa mimba?
 
Sasa watachagua nn,wakati single mom nao huwa wanatoa ujauzito? Acha watu waoe watakacho bila kusarurasarura eti yupi bora.Ubora wa MTU ni kwa muhusika mwenyewe
 
𝐆𝐨𝐝 𝐰𝐚𝐧𝐭𝐬 𝐨𝐮𝐫 𝐡𝐞𝐚𝐫𝐭𝐬, 𝐧𝐨𝐭 𝐨𝐮𝐫 𝐩𝐞𝐫𝐟𝐞𝐜𝐭𝐢𝐨𝐧𝐬
 
Sasa watachagua nn,wakati single mom nao huwa wanatoa ujauzito? Acha watu waoe watakacho bila kusarurasarura eti yupi bora.Ubora wa MTU ni kwa muhusika mwenyewe
Mkuu kwa options hapo juu utachagua yupi
 
Sasa watachagua nn,wakati single mom nao huwa wanatoa ujauzito? Acha watu waoe watakacho bila kusarurasarura eti yupi bora.Ubora wa MTU ni kwa muhusika mwenyewe
Jibu zuri,kwa wewe Beesmom ukitokewa na scenario hiyo utafanya nini ? Utatoa Mimba au utazaa uwe single mother?
 

Ngoja waje na majibu😂😂😂
 
Ngoja na mimi nichangie kama ifuatavyo:
Ntaoa Single mother ila anionyeshe yafuatayo,
1.Kaburi la baba wa mtoto/watoto.
2.Cheti cha kifo cha baba wa mtoto.
3.Mashahidi watatu watakaothibitisha ni kweli alikufa na akazikwa.
4. Picha na video za tukio zima la msiba na mazishi.
5. Ikiwezekana kaburi lifukuliwe tuhakikishe kama ni kweli.
6.Ushahidi wa viongozi wa dini waliohudhuria mazishi.
7....ngoja nijifikirie.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…