Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoaji huolewa zaidi kuliko hao wenye ushahidi ila hiyo haimaanishi wamewazidi ubora hao wengineHahaaaa,kama ukiwa na options mbili hapo juu utachagua ipi
Jibu mkuu,hii maada inaleta makasiriko kwa wajumbe.😃😃Ngoja waje na majibu😂😂😂
Jibu mkuu,hii maada inaleta makasiriko kwa wajumbe.😃😃
Umejibu vizuri kama ukiwajua wote, ungechagua yupi?Watoaji huolewa zaidi kuliko hao wenye ushahidi ila hiyo haimaanishi wamewazidi ubora hao wengine
Option hii haipo hapo juu, tafadhali husika na Mada tajwa hapo juu 🙏Nachagua ambaye ni bikra.
Kwa maelezo yako ni bora single Mama kuliko anayetoa ujauzito 🙏😃Mwenye mapenzi ya kweli haoni singo wala asiye singo. Yeye anaona mwanamke anayempendeza moyo wake
Kila mtu anachagua akipendacho
Hizo options zote ziko flawedOption hii haipo hapo juu, tafadhali husika na Mada tajwa hapo juu 🙏
😂😂😂Fuata maelekezo.Hizo options zote ziko flawed
Kama dakuona vile unavyokusanya data za Hilo swali Toka kwa wadaube Ili upate kuabua juu ya bimba uliyonayo kaba uitoe au uwe sigo bazaHahaaaa,kama ukiwa na options mbili hapo juu utachagua ipi
Aliyetoa mimba ila iwe ni yangu.😂😂😂Fuata maelekezo.
Mimi ni ME mkuu ,nitake radhi na ugua poleKama dakuona vile unavyokusanya data za Hilo swali Toka kwa wadaube Ili upate kuabua juu ya bimba uliyonayo kaba uitoe au uwe sigo baza
Sabahanini, Leo Nina bafua
Jina lako limenichanganya, Girl andMimi ni ME mkuu ,nitake radhi na ugua pole
Hahaaaaaaa😂😂😂Msimamo wa kuona kaburi ulipitishwa na kikao rasmi, lakini nimejiuliza hili swali. Je tumhukumu single mother kwa sababu aliamua kuzaa na kumuunga mkono anayetoa mimba ili akufurahishe?Sioi yeyote kati yao.
Wengi wanaoa waliotoa mimba na sababu kubwa ni kua huwa hawajui kama alitoa mimba. Lakini wakijua nadhani penzi litakua hatiani labda kama na mwanaume alishiriki kuitoa hiyo mimba.
Kuhusu singo maza wala sitaki kuiongelea, inafamika ni mpaka kaburi lionekane.
Hata utakapothibitisha kuwa katoa ujauzito? 😃Provided that other factors remain constant hakuna mwanaume atakayeoa single mothers akamuacha ambaye hana mtoto