Exactly!!Kijana, tuliza mchecheto. Kijana sikiliza tukwambie makosa tuliyofanya na ujifunze. Kijana sumu haionjwi! Usioe, Usioe, Usioe SINGO MAZA! Unataka kujua kwanini?
1. Emotional Gabbage: Wengi wao wameumizwa sana na kihisia hawapo sawa. Wewe sio Mwokozi, okoa nafsi yako dhidi ya maumivu ya kihisia na kimwili!
2. Priorities: Kaa ukifahamu kuwa utakuwa namba 3 baada ya Mwanae na Baba wa Mtoto. Hutoweza kumfunza mtoto maadili mema bila mama yake kuona kuwa unamtesa!
3. Bonding: Ni ngumu sana SINGO MAZA kuwa nawe kihisia tofauti na malisafi ambayo haijatumika. Baba Mtoto anaweza pasha kiporo muda wowote.
4. Lack of Self Control: Kama ameshindwa kusubiri ndoa ndio afanye maamuzi magumu ya kuleta kiumbe duniani, ni dhahiri atashindwa kujizuia kwenye mambo mengi yanayohitaji nidhamu. Wengi wao ni wanywaji, wavivu, n.k
5. Respect : Utahudumia kiumbe kisicho chako kwa gharama kubwa, mwishowe utakuwa huna thamani sawa na baba yake. Wekeza nguvu zako kwa damu yako.
Sikiliza Kijana! Singo Maza ni kama shamba lenye mgogoro, Jiepushe nao!
Aminaβ€β€β€ππKatika harakati zangu zote za kubanjuka sijawahi banjuka na mwanamke asie na mtoto na sijui kwanini Kwa Mungu ananipitisha katika hili na nilie muoa nae ni singo Maza ana nipenda kushinda anavyompenda mwanae ila huyu singo Maza ni package ya mwanamke ambae hutamani kuwa nae mbali Mungu ambaliki sana huyo mwanaume alizalisha na kuacha huko aliko mwache ahangaike Kuna wanawake ni Tunu tunacho angalia sio ana mtoto Bali ana kismati kichwani akili Iko
πππππYan ndionamkuta singo maza anapambana na nyoka,bora nimsaidie nyoka x10
Pretoria wazima?Minister of Water and Irrigation
BarikiwaYa leo sio ya jana huyu mungu humuinua kila mwenye kupambana. Imeandikwa atatubariki kwa kazi za mikono yetu.
Kuish na watu vizuri ni baraka sio unyonge
Huyo asikuongope sijui kauuza kiwanja kapata Milion 6, ndiyo kanunuwa gari,kafunguwa biashara ya nguo na ujenzi juu!!? Hiyo Milion 6 labda ya Dola ya US! Huyo kapata mfadhili wa uhakika sema hawezi kukuambia ukweli wote!!Wakuu nilimpa namba yangu ,akanitext , ila baadae nmemtext hajanijibu mpaka Sasa ?.
Au ndo mwanamke akipata? Au Yuko bize?[emoji1787]
Nakua namuhao muhao, ujue mtoto kapendeza aiseeee yaan katakata kweli
Sawa bhanaNaomba uje hapa jirani,buku ya tuktuk hiyoπ
nakazia, hao inabidi upewe bure, maana umemfanyia favornilipe mahari ya nini?