Pongezi kwenu Single Mothers
Kijana, tuliza mchecheto. Kijana sikiliza tukwambie makosa tuliyofanya na ujifunze. Kijana sumu haionjwi! Usioe, Usioe, Usioe SINGO MAZA! Unataka kujua kwanini?
1. Emotional Gabbage: Wengi wao wameumizwa sana na kihisia hawapo sawa. Wewe sio Mwokozi, okoa nafsi yako dhidi ya maumivu ya kihisia na kimwili!

2. Priorities: Kaa ukifahamu kuwa utakuwa namba 3 baada ya Mwanae na Baba wa Mtoto. Hutoweza kumfunza mtoto maadili mema bila mama yake kuona kuwa unamtesa!

3. Bonding: Ni ngumu sana SINGO MAZA kuwa nawe kihisia tofauti na malisafi ambayo haijatumika. Baba Mtoto anaweza pasha kiporo muda wowote.

4. Lack of Self Control: Kama ameshindwa kusubiri ndoa ndio afanye maamuzi magumu ya kuleta kiumbe duniani, ni dhahiri atashindwa kujizuia kwenye mambo mengi yanayohitaji nidhamu. Wengi wao ni wanywaji, wavivu, n.k

5. Respect : Utahudumia kiumbe kisicho chako kwa gharama kubwa, mwishowe utakuwa huna thamani sawa na baba yake. Wekeza nguvu zako kwa damu yako.

Sikiliza Kijana! Singo Maza ni kama shamba lenye mgogoro, Jiepushe nao!
Exactly!!
 
Tukiendelea na zoezi la kufungua zawadi kwa wale waliopewa tuu hapo jana na kwa wale ambao hatujapewa tuendelee ku mwagilia moyo.

Nitoe tahadhari tuu kama kweli umeamua kumuonea Single Mama huruma na ukaamua kumuoa kulingana na tamaa zako za kipuuzi basi kuna mambo kadha wa kadha ya kuyazingatia kama ifuatavyo

1: Hakikisha mwanaume alie zaa nae amefariki yaani , huyo mwanamke ni Mjane na sababu za ujane wake unazijua

2: Hakikisha umeliona kaburi la huyo mwanaume alie zaa nae

3: Hakikisha unajua sababu na historia ndefu ya kifo cha marehemu / sababu ya mzazi mwezake kufariki dunia

4: Hakikisha alie fariki kweli ni mzazi mwezake , baba wa mtoto na ikibidi nenda kapime DNA kujihakikishia zaidi

5: Kama mwanaume amefariki kwa sababu za kibinadamu baada ya kuachana na huyo mwanamke , hakikisha unajua kwa undani sababu ya kuachana kwao.

6: Hakikisha kabisa umri wa mtoto alie zaa na huyo mwanaume usizidi miaka mitano (5) hii ni kwa sababu za kimalezi, ili iwe rahisi kumjenga mtoto katika misingi yako imara

7: Hakikisha mwanaume alie zaa nae awali umemzidi kipato na akili, hii utajua kwa kufatilia historia ya marehemu (mumewe/ mzazi mwenzake)

8: Hakikisha wewe sio mtu wa hasira na kama hasira unazo basi uwe na uwezo wa kujizuia

9: Hakikisha kabisa umemzidi hiyo maa wa mtoto akili ,kipato na mali ulizo nazo

10: Hakikisha unauwezo wa kumpenda mtoto ulie mkuta nae kabla ya kumpenda mama yake , hii ni kuweza kuuteka moyo wa mwanamke ,pamoja na kuishinda ile zana ya kwamba mwanamke anaangalia maslai ya huyo mtoto wa kwanza cz ni kweli ndie alie mshusha engine kwa mara ya kwanza kama kweli alizaa kwa uchungu na sio alizaa kwa kutolewa mtoto

Nb: Single mama kama aliwaji kua na hali ya ndoa iwe halali au batili na aliachika kwa sababu yeyote ile huyo hafai kuolewa hata kama umetimiza vigezo vyote hivyo..
 
Yan ndionamkuta singo maza anapambana na nyoka,bora nimsaidie nyoka x10
 
Katika harakati zangu zote za kubanjuka sijawahi banjuka na mwanamke asie na mtoto na sijui kwanini Kwa Mungu ananipitisha katika hili na nilie muoa nae ni singo Maza ana nipenda kushinda anavyompenda mwanae ila huyu singo Maza ni package ya mwanamke ambae hutamani kuwa nae mbali Mungu ambaliki sana huyo mwanaume alizalisha na kuacha huko aliko mwache ahangaike Kuna wanawake ni Tunu tunacho angalia sio ana mtoto Bali ana kismati kichwani akili Iko
 
Katika harakati zangu zote za kubanjuka sijawahi banjuka na mwanamke asie na mtoto na sijui kwanini Kwa Mungu ananipitisha katika hili na nilie muoa nae ni singo Maza ana nipenda kushinda anavyompenda mwanae ila huyu singo Maza ni package ya mwanamke ambae hutamani kuwa nae mbali Mungu ambaliki sana huyo mwanaume alizalisha na kuacha huko aliko mwache ahangaike Kuna wanawake ni Tunu tunacho angalia sio ana mtoto Bali ana kismati kichwani akili Iko
Amina❤❤❤😘😘
 
Wakuu nilimpa namba yangu ,akanitext , ila baadae nmemtext hajanijibu mpaka Sasa ?.

Au ndo mwanamke akipata? Au Yuko bize?[emoji1787]

Nakua namuhao muhao, ujue mtoto kapendeza aiseeee yaan katakata kweli
Huyo asikuongope sijui kauuza kiwanja kapata Milion 6, ndiyo kanunuwa gari,kafunguwa biashara ya nguo na ujenzi juu!!? Hiyo Milion 6 labda ya Dola ya US! Huyo kapata mfadhili wa uhakika sema hawezi kukuambia ukweli wote!!
 
Ndugu zanguni, Nawatakia Heri na Fanaka kwenye mwaka mpya ujao 2023.

Mimi ni kijana barobaro, nisiye na gari wala nyumba ya kifahari, wala mashamba wala degree kama nyie wenzangu mlivyo jaliwa.

Shughuli zangu ni ndogondogo na nina kiosk cha kuuza vinywaji baridi hapo Coco Beach.

Kilichonilete kwenu ni kwamba, hapa jukwaaani imetokea kupendana na binti mrembo mmoja matata sana, binti ana degree zake mbili, magari mawili, nyumba kali ya ghorofa pande za Mbweni, na watoto wake wawili.

Mimi sina nyumba, sina gari, sina elimu nona mtoto mmoja tu niliyempata ujanani.

Huyu binti ninataka kumuoa sio kwa ajili ya ufahari alionao, nataka nimuoe kwasababu nampenda sana.

Leo ndio siku ya mimi kwenda kutambulishwa kwao, na katika vitu ambavyo vitanifanya nionekane mtoto mbaya ni msimamo wangu na mtazamo wangu juu ya nadharia nzima ya mahari.

Mimi nafahamu kwamba mahari tunalipa ili kuwashukuru wazazi kwa kumlea vyema binti yao. Sasa limwanamke limezalishwa na mianaume miwili tofauti, nilipe mahari ya nini?

Au nyie wana nzengo mnasemaje?

NB:-
Msimamo wangu, hatutaenda kukaa kwake Mbweni, atakuja kukaa kwangu Mwananyamala kwa Mama Zakaria.

Sistatumia gari yake, tukitaka kusafiri pamoja ni daladala au bajaji au bolt.

Vitegauchumi vyake ni vyake. Wakurya hatuzinguliwagi kiboya
 
Asabuhi njema.
giphy.gif
 
Back
Top Bottom