Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Kwani ulishawahi kusikia Kaole wameomba mapato na matumizi kwa ugomvi?Hivi ameshawahi ku practice huo uhasibu?
Safi sana hakikisha unamwachisha kazi na wanae mwambie huwezi kukaa nao awaache kwa ndugu. Dawa ya wanawake wenye viburi unawaachisha kazi zinazowapa jeuri unampeleka tarime huko akakwatue miamba hadi ajute kusomaš¤£Nimegundua wengi mnanionea wivu mnadhani naenda kufaidi, kwa hasira huyu mwanamke nitampeleka kwetu Tarime huko tuone atazifanyia nini degree zake
Hakuna mwanaume marioo tanzania. Wote wana BMW, wote wana uwezo wa kulisha wake zao bila shida na kuwahudumia kwa kila kitu. Kikubwa tu asiwe mfanya kazišKwani wasichana wameisha? Si useme kuwa wewe ni kula kulala anayetafuta sugamami wa kukuhifadhi baada ya kuishiwa kufikiri na ubunifu
Kwani kulelewa dhambi, mbona wanawake wenyewe hawataki kuanzia chini. 50|50Ila wanawake tuna huruma sana. Eti limwanamke! Dah.
Nyoosha maelezo wewe ndo unaenda kuolewa, na mahari yenyewe hauna
Kama kweli uendi kulelewa si utafute binti uanze nae maisha? Bureeee
Kwanini asihamie kwa mwanaume aliemuoa? Hata kama angekua anakaa shimoni mwanamke unakuwaje na maisha kumzidi mumeo? Auze vyote amkabidhi mume pesa zote mumewe ndo atajua atafanya nazo niniš mwanaume ni mwanaume tuAmka Usingizini mjomba ,utajikojolea ,Mbweni JKT unapajua? Yaani aache Kwenda Bahari Beach kuna beach za hatari aende Coco Beach Kimba?
Niko hapa nawaza nani alimtongoza mwenzake.YaaniĀ” hivyo visentensi vinaashiria hana true love kabisa huyo. Roho mtakatifu amvuvie huyo mdada agundue kuwa huyu kaka hafai.
Niko hapa nawaza nani alimtongoza mwenzake.
Au sio?Walaaa,easy tu.Andika ya MTU ndo inakuelekeza kuwa ni wa kuhurumiwa na kusamehewa
Du kawa muhoaji tena?!!Kama muhoaji toa mahali acha sababu
Msamehee Baby !!Limwanamke..dah
Dizaini ya wanawake aina hiyo walishakufa na mafuriko ya mwaka gani sijuiNimegundua wengi mnanionea wivu mnadhani naenda kufaidi, kwa hasira huyu mwanamke nitampeleka kwetu Tarime huko tuone atazifanyia nini degree zake
Hela ya appartment ungepata wapi sasa mkuu??NB:-
Msimamo wangu, hatutaenda kukaa kwake Mbweni, atakuja kukaa kwangu Mwananyamala kwa Mama Zakaria.
Sistatumia gari yake, tukitaka kusafiri pamoja ni daladala au bajaji au bolt.
Vitegauchumi vyake ni vyake. Wakurya hatuzinguliwagi kiboya
[emoji3] Jiamini, sawa kakuzidi kila kitu lakini huwezi mtoa kwenye mazingira bora umlete huko uswahilini kwanza nyie mwili mmoja kwanini uanze kujitenga mapema sana
Wewe kama huna pesa au kazi cha kufanya badili gari moja usajili utumie kwa biashara, ila kama unazo pia woga wa nini kakae kwa mkeo huyo ila mimi nisingekaa sema ningetafuta apartment nzuri tungekaa hapo halafu io nyumba yake ipangishwe sio kumpeleka uswahilini huko.
[emoji3] Kuhusu mahari we lipa tu, hamna namna kwani mmewe bado yupo hai?
Unasafari ndefu sana mkuuNimegundua wengi mnanionea wivu mnadhani naenda kufaidi, kwa hasira huyu mwanamke nitampeleka kwetu Tarime huko tuone atazifanyia nini degree zake
Mungu anamuona na malipo ni hapa hapa duniani.Msamehee Baby !!