Pongezi kwenu Single Mothers
Nikicomment hapa ntaanza kuvurugana na vichwa maji mwisho wa mwaka huu🤣 eti limwanamke🤣 ukilioa hilo limwanamke liachishe kazi lisikuletee ufeminism ndani. Liambie likae nyumbani lilee mitoto yake na nyie mzae wenu wanne muanze maisha yenu upya mwananyamala. Asikubabaishe
 
Nimegundua wengi mnanionea wivu mnadhani naenda kufaidi, kwa hasira huyu mwanamke nitampeleka kwetu Tarime huko tuone atazifanyia nini degree zake
Safi sana hakikisha unamwachisha kazi na wanae mwambie huwezi kukaa nao awaache kwa ndugu. Dawa ya wanawake wenye viburi unawaachisha kazi zinazowapa jeuri unampeleka tarime huko akakwatue miamba hadi ajute kusoma🤣
 
Kwani wasichana wameisha? Si useme kuwa wewe ni kula kulala anayetafuta sugamami wa kukuhifadhi baada ya kuishiwa kufikiri na ubunifu
Hakuna mwanaume marioo tanzania. Wote wana BMW, wote wana uwezo wa kulisha wake zao bila shida na kuwahudumia kwa kila kitu. Kikubwa tu asiwe mfanya kazi😄
 
USIWE KAMA WAZEE

WAZEE NDO HUWA WANABABAIKA NA SINGO MAZA WANATOA MAHARI KAMA ANAOA BIKIRA

KUMUOA TU NI MAHARI TOSHA,KUMBUKA HILO NI GAZETI LA JIONI HATA UKILIFUNGIA MAANDAZI HAKUNA ATAEKUSHANGAA
 
Ila wanawake tuna huruma sana. Eti limwanamke! Dah.
Nyoosha maelezo wewe ndo unaenda kuolewa, na mahari yenyewe hauna
Kama kweli uendi kulelewa si utafute binti uanze nae maisha? Bureeee
Kwani kulelewa dhambi, mbona wanawake wenyewe hawataki kuanzia chini. 50|50
 
Amka Usingizini mjomba ,utajikojolea ,Mbweni JKT unapajua? Yaani aache Kwenda Bahari Beach kuna beach za hatari aende Coco Beach Kimba?
Kwanini asihamie kwa mwanaume aliemuoa? Hata kama angekua anakaa shimoni mwanamke unakuwaje na maisha kumzidi mumeo? Auze vyote amkabidhi mume pesa zote mumewe ndo atajua atafanya nazo nini😆 mwanaume ni mwanaume tu
 
Kijana acha kuendekeza umarioo kwa wake za watu.Ujue hapo wewe ndo unaenda kuolewa wala sio yeye.
 
Mahari sio manunuzi ya mbususu ni kama shukrani kwa wzazi kukuamini na kukupatia binti yao uishi nae.

Nahisi hii ni chai maana ungempenda usingemuita limwanamke,wewe mwenyewe ni single father hivyo huna haki ya kumhukumu maana uliyemzalisha nae ni single mother
 
Nimegundua wengi mnanionea wivu mnadhani naenda kufaidi, kwa hasira huyu mwanamke nitampeleka kwetu Tarime huko tuone atazifanyia nini degree zake
Dizaini ya wanawake aina hiyo walishakufa na mafuriko ya mwaka gani sijui
 
NB:-
Msimamo wangu, hatutaenda kukaa kwake Mbweni, atakuja kukaa kwangu Mwananyamala kwa Mama Zakaria.

Sistatumia gari yake, tukitaka kusafiri pamoja ni daladala au bajaji au bolt.

Vitegauchumi vyake ni vyake. Wakurya hatuzinguliwagi kiboya


[emoji3] Jiamini, sawa kakuzidi kila kitu lakini huwezi mtoa kwenye mazingira bora umlete huko uswahilini kwanza nyie mwili mmoja kwanini uanze kujitenga mapema sana

Wewe kama huna pesa au kazi cha kufanya badili gari moja usajili utumie kwa biashara, ila kama unazo pia woga wa nini kakae kwa mkeo huyo ila mimi nisingekaa sema ningetafuta apartment nzuri tungekaa hapo halafu io nyumba yake ipangishwe sio kumpeleka uswahilini huko.

[emoji3] Kuhusu mahari we lipa tu, hamna namna kwani mmewe bado yupo hai?
Hela ya appartment ungepata wapi sasa mkuu??
 
Back
Top Bottom