Shida inakuja unaenda china unaingia tamaa ya kwenda zunguka hong kong mara beijing lazima mtaji utadidimia
Gharama za kula China ni kubwa. Tatizo pia unaweza kwenda ukakuta Mali sio safi hapa nazungumzia Mali za nguo. Sema kuna kampuni za kuagiza mzigo bila hata ya kwenda huko. Toka Covid 19 kuna utofauti mkubwa. .

Una ndoto za kuagiza bidhaa gan China?
 
Gharama za kula China ni kubwa. Tatizo pia unaweza kwenda ukakuta Mali sio safi hapa nazungumzia Mali za nguo. Sema kuna kampuni za kuagiza mzigo bila hata ya kwenda huko. Toka Covid 19 kuna utofauti mkubwa. .

Una ndoto za kuagiza bidhaa gan China?
Viatu na simu
 

Kwa post hii kuoa single mothers kazi binties ambao hamjazaa mjitunze sanaa aisee
 
I humbly appreciate and understand their capabilities indeeds,they fight hard
 
Mimi Mama wa mwanangu ali amua mwenyewe kula kona,kwa sababu za hovyo,,ilinipa tabu sana ni isitoshe napenda wanangu na familia kwa ujumla,,2 years have gone by now,,sasa alipoondoka niliamua kumuacha na kila kitu mimi nikaanza upya,nikapanga eneo si mbali na aliko hamia yeye,,sasa one month later,mtoto alianza kuumwa ,,mchana akanipa taarifa kwakuwa nilikuwa kazini kwangu na nilikuwa peke yangu ,nikaenda jioni nikamcheki mtoto then nikateleza,saa tisa usiku anapiga simu mtoto kazidiwa,kwakuwa mimi ni Dr.nikabeba vifaa nikaita boda ,nikafika,kweli mtoto associated with high grade fever that scared,,,,,unajua kwanini aliita usiku ni kwa sababu alishazoea kipindi tunaishi pamoja mtoto akiumwa usiku kucha nabembeliza kila inapobidi yeye analala hata kama kunyonya simuamshi nampa maziwa kopo mpaka analala tena
 
Ukimuona MWANAMKE mwenye mtoto na hajaolewa usidhani hajatulia, kuna SABABU kubwa na wengi wao ni BEST WIFE MATERIALS halafu wapo strong wanafanya kazi kwa bidii na wanahakikisha watoto wao wanapata chakula KILA SIKU na wana mioyo ya dhahabu na wanajua KUPENDA. ❀
 
Single mother wapambanaji ni wachache Sana wengi ndio hawa wadangaji wa mjini
 
Wengi wana midomo michafu ndio mana wamekimbiwa...
Jitu unalea nalo mtoto unajitahd kadri ya uwezo halilidhiki kutwa kauli za kukera mwshowe baba unaona ukae nalo mbali tu....
 
Ila kiukweli mwanamke ndo mzazi sisi madume ya mbegu tunaweza kutia mimba na kula Kona ila mwanamke atapambana watoto mpaka watakua.
 
Wengi wana midomo michafu ndio mana wamekimbiwa...
Jitu unalea nalo mtoto unajitahd kadri ya uwezo halilidhiki kutwa kauli za kukera mwshowe baba unaona ukae nalo mbali tu....
They are sweet msipowabebesha mimba mkiwapa mimba wana.midomo michafu daah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…