Pongezi kwenu Single Mothers
Ngosha ametupa ushahidi usio na shaka yoyote kwamba mshangazi Penina mwenye watoto wawili amedata mpaka amemdhurumu uhai binti wa watu.

Sasa swali langu huyu ngosha si bwana mdogo tu? Je hajaona mabinti bikra au ambao hawajazaa?

Kwahiyo vijana wa JF acheni kutuhadaa nyuma ya keybord kuwaponda single mother kumbe mko tayari kufanya lolote kwa ajili ya mishangazi.

R.I.P Penina.

IMG-20240523-WA0026.jpg
 
Ngosha ametupa ushahidi usio na shaka yoyote kwamba mshangazi Penina mwenye watoto wawili amedata mpaka amemdhurumu uhai binti wa watu.

Sasa swali langu huyu ngosha si bwana mdogo tu? Je hajaona mabinti bikra au ambao hawajazaa?

Kwahiyo vijana wa JF acheni kutuhadaa nyuma ya keybord kuwaponda single mother kumbe mko tayari kufanya lolote kwa ajili ya mishangazi.

R.
Ila Wakuu angalieni hilo mtindi. Na huyo mwanamke alivyomuangalia jamaa kwa mahaba ya hamu.

Subhanah!
 
Kwa akili ya kawaida si unaona dogo hapo analelewa dogo kafuata mapene hapo hata akichapiwa huyo dogo haimuumi muhimu kwake anapewa hela. Single mother wanawazungumzia ni wale ambao mwanaume halisi anaenda kujenga nao maisha achana na hao marioo.
 
Back
Top Bottom