Pongezi kwenu Single Mothers
Hata hivyo visichana vitafanya kila kitu ili violewe, rangi zake utaziona Baadaye ya ndoa.
Cha msingi ni kumuomba Mungu akuelekeze mahali sahihi, anaweza kuwa single mother akawa ana akili au akawa kimeo, the applies to hao unaowaita visichana.
All the best
You nailed it boss
 
Mwanamke akishazalishwa anakua anajituma Sana kwenye mapenzi. Sijui hata kwa Nini.
 
Single mother ni wanawake wazuri, ila itafika sehemu mwanaume utaanza kuishi kwa wasiwasi sana. Mi kuna mashangazi zangu ni single mothers waume zao wanaishi kwa wasiwasi miaka yote hawana amani na ndoa zao kabisa,

Sikushauri kumwacha, ila maisha yako yote yatakuwa na wasiwasi sana na hakutakuwepo na furaha ya watoto kama familia, muda utaongea kila la kheri!
 
Leo nataka nitoe somo kwa jamii forums members.

Single maza ni mwanamke aliyezaa na mwanamme ambaye haishi naye as a family, i mean ni mwanamke anayeishi na watoto/mtoto kwa nyumba. Kuna sababu nying sana zinazosababisha hali kutokea kwa mwanamke... inawezekana ikawa

1. Mwanamme katelekeza family

2. Mwanamme alidate na mwanamke asiyekuwa kwenye ndoto zake.

3. Harakat za maisha.. kutokujipanga kwa mwanamme kupelekea mimba zisizotarajiwa.

4. Kuvunjika kwa ndoa kwa sababu tofauti.

Mara nying single maza n mwanamke ambaye anapitia changamoto nying sana... wengen wamekuwa ivyo kwa sababu ya much know wao.. wengne ni kwa sababu ya much know wa mwanamme.

Mapenz ya single maza.
Single maza uwa hawanaga mapenz ya kugandana san.. uwa wameamua kuishi kwa style ya maisha hayo na hawaoni hatari kutembea na mwanamme siku moja na kumpotezea mazima.

Nina experience na single maza weng hawapend shida za mapenz kujirudia maishan mwao...


My take.
Tuwaliwaze single maza ila tuwe makin nao coz weng wana majeraha ya mapenzi...
 
Hongera kwa kuzama na kuyafurahia mahabati mkuu. Ila halahala usije ukamfanya tena singo mother kwa mara nyingine Halafu ukambwaga. It will not be fair ooo (in Nigeria's voice).
 
Mapenzi ni hisia. Mimi nimeoa single mother na nimezaa naye watoto wawili .Wakiume na wakike.Yeye alishazaa wa kiume kwanza.Nampenda saana.Mapenzi yetu yalianzia primary school.Nimembikiri mwenyewe.Sisi ni wapenzi wa kwanza kwa kila mmoja.Kitabu kilitutenganisha kwa kipindi fulani.Hatimaye tupo pamoja.
Hongera mkuu
 
Wakuu za siku nyingi aisee.....
Bhana kumekuwa na thread za kuwananga hawa masingle mother kwa tabia zao za kurudi kwa wanaume walio wazalisha wanasema kukumbushia enzi.......
Bhana mdogo wenu ndio nimejikuta nimezama huko napata mapenzi 24/7 sijutii kuwa na huyu mwanamke kama wengi wenu mnavo wazungumzia......

Naapa sijawahi enjoy mapenzi kama wakati huu sijawahi kuwa na gf mwenye real love kama huyu, sijawahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke anayejielewa na mwenye mawazo chanya kama huyu........

Sijawahi pata maendeleo kama niliyo nayo kwa huyu mwanamke (nimefungua biashara kwa ushauri wake)kabla ya hapo pesa angu sikujua inapoendaa nilijua na mikosi plus gundu kumbe nilikuwa sijapata mtu sahihi kwenye mahusiano.

Kusema ukweli sijawahi enjoy ngono kama wakati huu mtu wangu yupo so open sio kama vibinti vya chuo nadekezwa mie.....
Before nilikuwa najua papuchi kavu ndio nzuri lakini saivi napenda inayolowa
Huyu single mama papuchi yake inaloa hadi raha sipati tena michubuko kwenye dushe langu....
Naenjoy naona kabisa anavyofika kileleni sio zile fake organism za vibinti....

Hii iwaendee wote wanaowaponda single mothers... nyie mkiwaona wa nini kuna watu kama sie tunawahitaji...
Huyo anapoza machungu baada ya kuachwa, subiri uone akiona huna msaada kwa mwanae..!
 
Niwapongeze wachangiaji wote pamoja na mleta mada
Kunakitu nimejifunza.
 
Single mother ni wanawake wazuri, ila itafika sehemu mwanaume utaanza kuishi kwa wasiwasi sana. Mi kuna mashangazi zangu ni single mothers waume zao wanaishi kwa wasiwasi miaka yote hawana amani na ndoa zao kabisa,

Sikushauri kumwacha, ila maisha yako yote yatakuwa na wasiwasi sana na hakutakuwepo na furaha ya watoto kama familia, muda utaongea kila la kheri!
Aya mzeee
 
Ki ukweli kabisa ukitaka kufurahia ngono chukua singo maza
Na ukitaka kuishi kwa stress basi kaoe singo maza
Singo maza ni watamu kwa kujiburudisha tu na sio kwenda mbele zaidi ya hapo
Labda
 
Back
Top Bottom