Pongezi kwenu Single Mothers
Mbona unamtabiria negative?? Why usimtabirie positive??
I'm not a soothsayer,Huo si utabiri ni uzoefu wa waliopita hiyo njia kabla yake, bado yupo kwenye honeymoon, he will realise this when the honey is finished only the moon will be remaining. ....
 
I'm not a soothsayer,Huo si utabiri ni uzoefu wa waliopita hiyo njia kabla yake, bado yupo kwenye honeymoon, he will realise this when the honey is finished only the moon will be remaining. ....

Usikariri maisha what if uzoefu wake ukawa tofauti?? Kumbuka human beings are not predictable. Kilichotokea kwa uwajuao kinaweza kisitokee kwake hivyo usijiaminishe hivyo. Muombee heri
 
All the best mwaya…..
Kuzaa mtoto hakukufanyi ubadilishe personality yako ..ukimpata mtu unampenda ..unaona mnaendana vitu vingine don't matter..
Ukizaa hugeuki kuwa Zimwi mla watu
Asante dada yangu kumbe umenielewa sana. Kwanza mapenzi ya kweli yanachagua basi ? Mi huwa nawashangaa humu men wenzangu wanavyoweka itikadi.
 
Siku zote naamini single mother ni bora kuliko msichana aliyetoa mimba nyingi ili aendelee kuitwa msichana. Single mother hakutaka kubeba dhambi ya kuua .hivi binadamu angekuwa hermaphrodite (jinsia mbili)ni wanaume wangapi wangepona usingle father?
yaani mi namuheshimu sana mchumba angu maana f*la aliyekuwa naye alimlazimisha atoe mimba ndipo walipoachana
 
Kwanza hongera kuingia kwenye mtego Wa bidada na pia pole kwa majukumu utayoyaanza mana kulea mtoto Wa kidume mwenzako sio kazi rahisi kwahyo nikutakie maisha mema ila mmejuana kwa mda mfupi sana mpka kufikia kutaka kuowa wanawake wazuri sana kuficha makucha pia dadisi kwann aliemzalisha hajakaa nae

Waliachana kwa sababu alikataa kutoa mimba.
 
Kwanza hongera kuingia kwenye mtego Wa bidada na pia pole kwa majukumu utayoyaanza mana kulea mtoto Wa kidume mwenzako sio kazi rahisi kwahyo nikutakie maisha mema ila mmejuana kwa mda mfupi sana mpka kufikia kutaka kuowa wanawake wazuri sana kuficha makucha pia dadisi kwann aliemzalisha hajakaa nae
Kwanini unahisi ni mtego ?
 
Hapo ni sawa na kupanda mwembe karibu na shule ya msingi.
 
Kaka singo maza hata ukikaa nae miaka mitatu na zaidi, hao wakinamama wana uzoefu wakuficha makucha yao akitimiza analo taka atakuonyesha "her true colour" ndo utajua kwanini mwanaumme mwezio alimzalisha alafu akamuacha, singo maza ni balaa wengi have "hidden habits"
Sababu ya kuachana na mzazi mwenzio ni kutokutoa mimba.
 
Tumesha kusamehe kwa maneno mengi .by the way umeandika ili iweje labda.maana nimesoma mpka mwisho sioni kitu unachoomba ushauriwe
Ila maelezo yako yana mnogo wa ulimbukeni hivi.ni kama type ya wale wanao date na wasaidizi wetu wa kazi za ndani kwa kukosa confidence kwa kuwa huna hela mwenyewe inaonekana umezoea vya kibakiziwa
Hapana sijazoea vya kubakizwa. Lengo langu niwaambie kuwa mapenzi hayachagui.
 
....Hapo ndio nami pamenishitua Mkuu.
Wiki tu baada ya kufahamiana na bibie ndugu yetu anaona aanze kuzungumzia Mambo ya Ndoa??
WIKI??? [emoji15][emoji15][emoji15]
Hayuko siriasi, ndoa sio sherehe
 
Halafu sijui umetuona Mafala!!!!!?
Umekaa ukafikiriaaaa, ukaona ututungie stori yako!?
 
Ushawah kumtambua mtu kwa relationship status yake hata siku moja?

Au ndugu yako ambae hana mahusiano ushawa kumuita we single boy/girl as their name?
Kama relationship status yake ni muhimu katika context ya conversation (kama hii),... KABISA.
 
Kitendo cha kukuelewa ndani ya wiki moja? Jiulize swali hilohilo amewakubali wangapi kama alivyokukubali wewe? Hawa wanawake wana mbinu nyingi sana linapofika suala la kutaka kuolewa.
 
Usikariri maisha what if uzoefu wake ukawa tofauti?? Kumbuka human beings are not predictable. Kilichotokea kwa uwajuao kinaweza kisitokee kwake hivyo usijiaminishe hivyo. Muombee heri
Huu ni ushauri tu, uamuzi anao yeye mwenyewe nilichofanya ni ku share experience si lazima afuate nilichoandika
 
Kwanini uende kwa "second hand material " wakati kuna 'first hand material kibao' kijana hao ma resisters wa kwenye ndoa ni hatari, kwanini alifaili mara ya kwanza jiulize?
Kwani kila ndoa inapofeli chanzo lazima ni mwanamke??
 
Kaka singo maza hata ukikaa nae miaka mitatu na zaidi, hao wakinamama wana uzoefu wakuficha makucha yao akitimiza analo taka atakuonyesha "her true colour" ndo utajua kwanini mwanaumme mwezio alimzalisha alafu akamuacha, singo maza ni balaa wengi have "hidden habits"
Kwahiyo mwanaume kumzalisha mwanamke na kumuacha ni sawa si ndiyo??
 
Back
Top Bottom